Pre GE2025 Upendo Peneza ahamia CCM, awananga CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
NCHIMBI alihusika pia kumuua mtoto wa Malecela Ipyana wakati wa kugombea uongozi wa vijana ccm.
He is a mercenary!
 
Noo Noo this is a joke!! You are kidding me right? Duh
 
Hilo la kumtakia heri umekomaa kisiasa !
 
Duuh huyu dada kanishangaza, yaani anaenda kujiunga na waliompora kura 2020? Dah ajabu sana. Anasahau walimuua Mawazo hapo hapo Geita leo hii anamgeuka kwa kuungana na wauwaji.
 
Kafanikiwa kujipenyeza, bila Chadema CCM ni magarasa matupu.
 
Hakika, upo sahihi.
 
Hakinyake kikatiba, na pengine ndio hatma yake kisiasa ipo huko CCM
 
Mbona anajiunga bila MSHIKO?UMALAYA wa KISIASA kweli BABA wa TAIFA alikuwa NABII

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…