Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto hakuwa mpumbaf wa kutukana au kukashifu alipotokaZitto ilitabiriwa hivyo!
Wamkaushie tu we si umeona akihangaika.Lazima ajibiwe
hivi kutoa michango siku hizi ni lazima au bado ni hiyari?Yeye kuchangia Gari mpya ya Tundu Antipas Lisu siyo rushwa? 🐼
Huyu anatafuta cheo huko kwa nguvu .....na ili huko ccm wamuone na wamsikie lazima awe anaishambulia chademaYupo kwenye SiSIEMu Project ,aishangazi ,mwache aendelee kufanya kazi ya upande wa pili.
Kanahangaika kweli kweliWamkaushie tu we si umeona akihangaika.
Waliozaliwa na kulelewa ndani ya ccm wako wengi sana lkn mpk leo hawajapewa vyeo. Huyu aliyekatika mkia asahau mazima. Jiwe ndiyo alikuwa na upumbavu huu wa kuwaruka wanaccm halisi na kuwaoa vyeo makapi ya vyama vingine.Huyu anatafuta cheo huko kwa nguvu .....na ili huko ccm wamuone na wamsikie lazima awe anaishambulia chadema
Ova
daaaaa aise !!! Doto kanazawa kabisaWewe ni mtu wa tano kutoa habari hii,atakuwa na maradhi ndiyo maana kila anayetoa kutu yake harudi tena nashangaa doto kaweka kituo kabisa.
Mchango ni Hiyari ila Changizo Ndio lazima 🐼hivi kutoa michango siku hizi ni lazima au bado ni hiyari?
Ila alitukanwa!Zitto hakuwa mpumbaf wa kutukana au kukashifu alipotoka
Huyu anatafuta cheo huko kwa nguvu .....na ili huko ccm wamuone na wamsikie lazima awe anaishambulia chadema
Ova
Anapigania tumbo lake maana kutoka kwenye ubunge alafu Huna nafasi tena si mchezoYap kwasisi tuliyaona hayo ni wa kumpuuza maana wengi walifanya kama yeye so hakuna jipya tutalipata kutoka kwake ,yeye peneza atimize majukumu aliyopewa na sisiemu then apate ukuu wa wilaya maisha yaendelee.