Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upeleke ujinga wake huko ccm, unaangaika na chama ambacho hakina mda na wewe.Raia mwema
Ni kweli kabisa. Wale tunaoona vizuri tunajua covid 19 watadunda hadi 2025 kumaliza ubunge maana wanahonga hadi chadema.Kumekucha! Maguzu masese.
Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.
Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.
View attachment 2995704
Yeye anahamasisha wanachama waandamane tu, lakini aliyesema chamani kuna rushwa ni tundu lisu.
Waanze CCM kwanza.Kumekucha! Maguzu masese.
Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.
Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.
View attachment 2995704
MALAYA wa KISIASA kwani yeye kujiunga CCM alichopewa sio Rushwa?Kumekucha! Maguzu masese.
Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.
Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.
View attachment 2995704
Lisu amesema ndani ya chadema kuna rushwa. Ina maana wewe hujamsikia lisu akisema hivyo?Chadema wakekula rushwa hivyo miradi ya serikali imekwama baada ya kuchota pesa?
Yeye asubiri kupata uteuzi wake baada yakuvushwa na CDM mimi kwa maono yangu Upendo bado ni CDM amechukuliwa CCM kwa mkopo mwingine ni Katambi na Lijua likali hao wote wapo CC M kwa mkopo.Kumekucha! Maguzu masese.
Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.
Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.
View attachment 2995704
We kipara we! Watu wa chama wanaweza sema yao watakayo, lakini chama kama taasisi huwa ina msemaji. Jee lilikuwa tamko la chama?Na watu wa chama kama taasisi bila watu haiwezi kuwa taasisi!
Tangu aondoke slaa na makene hiyo taasisi haina msemaji wote ni waliopo ni wasemaji!We kipara we! Watu wa chama wanaweza sema yao watakayo, lakini chama kama taasisi huwa ina msemaji. Jee lilikuwa tamko la chama?
Doto ndio nani ?Wewe ni mtu wa tano kutoa habari hii,atakuwa na maradhi ndiyo maana kila anayetoa kutu yake harudi tena nashangaa doto kaweka kituo kabisa.
Ana elimu gani hebu tufahamishe in details?Ana elimu kubwa sana, anaweza kuwa hata mkurugenzi wa taasisi kubwa sana hapa nchini, ukiacha mambo ya siasa, ni mtu makini sana
Ni danga la Upendo Peneza.Doto ndio nani ?
Bado haujaninyooshea maelezo. Yaani huyo doto ni nani me simfahamu kwamba ana title gani hapa mjini? [emoji848]Ni danga la Upendo Peneza.