Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnajitoa tu ufahamu mnatakiwa kumshukuru kwa kuwa mkweli na muwazi sana ,peneza ana Siri nyingi sana zingine amezimeza tu!! Hivi kweli kunguru wale wa chadema kwa urembo wa peneza walimkosa kosa kweli !
 
Mnajitoa tu ufahamu mnatakiwa kumshukuru kwa kuwa mkweli na muwazi sana ,peneza ana Siri nyingi sana zingine amezimeza tu!! Hivi kweli kunguru wale wa chadema kwa urembo wa peneza walimkosa kosa kweli !
 
Upeleke ujinga wake huko ccm, unaangaika na chama ambacho hakina mda na wewe.

Watu wakishaambiwa kutoa viposho basi akili wapi ametoka hupotea, ameni vyama ila kuweni na adabu
Chama cha siasa ni mali ya umma
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Ni kweli kabisa. Wale tunaoona vizuri tunajua covid 19 watadunda hadi 2025 kumaliza ubunge maana wanahonga hadi chadema.
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Waanze CCM kwanza.
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
MALAYA wa KISIASA kwani yeye kujiunga CCM alichopewa sio Rushwa?
 
Kumekucha! Maguzu masese.

Upendo Peneza ana hoja, kwamba, kwa muda mrefu wanachadema wamekuwa wakiandamana kwa kuisingizia serikali kwamba kuna rushwa ndani yake.

Upendo Peneza anasema, kwa kuwa ndani ya Chadema imethibitika pamevunda na kuoza kwa rushwa, basi maandamano ya wanachadema yaelekee ofisi za makao makuu ya chama.

View attachment 2995704
Yeye asubiri kupata uteuzi wake baada yakuvushwa na CDM mimi kwa maono yangu Upendo bado ni CDM amechukuliwa CCM kwa mkopo mwingine ni Katambi na Lijua likali hao wote wapo CC M kwa mkopo.
 
Na watu wa chama kama taasisi bila watu haiwezi kuwa taasisi!
We kipara we! Watu wa chama wanaweza sema yao watakayo, lakini chama kama taasisi huwa ina msemaji. Jee lilikuwa tamko la chama?
 
Yeye asubiri kupata uteuzi wake baada yakuvushwa na CDM mimi kwa maono yangu Upendo bado ni CDM amechukuliwa CCM kwa mkopo mwingine ni Katambi na Lijua likali hao wote wapo CC M kwa mkopo.
Damu ya Peneza kijani kitupu
 
We kipara we! Watu wa chama wanaweza sema yao watakayo, lakini chama kama taasisi huwa ina msemaji. Jee lilikuwa tamko la chama?
Tangu aondoke slaa na makene hiyo taasisi haina msemaji wote ni waliopo ni wasemaji!
 
Ana elimu kubwa sana, anaweza kuwa hata mkurugenzi wa taasisi kubwa sana hapa nchini, ukiacha mambo ya siasa, ni mtu makini sana
Ana elimu gani hebu tufahamishe in details?
 
Back
Top Bottom