chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #41
Ana elimu kubwa sana, anaweza kuwa hata mkurugenzi wa taasisi kubwa sana hapa nchini, ukiacha mambo ya siasa, ni mtu makini sanaWanasiasa wote ambao huwa wanavichafua vyama walivyovihama huwa wanapotea na hatimaye kufa kabisa kisiasa.
Ni suala la muda tu Upendo Peneza itabaki stori.