Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanasiasa wote ambao huwa wanavichafua vyama walivyovihama huwa wanapotea na hatimaye kufa kabisa kisiasa.

Ni suala la muda tu Upendo Peneza itabaki stori.
Ana elimu kubwa sana, anaweza kuwa hata mkurugenzi wa taasisi kubwa sana hapa nchini, ukiacha mambo ya siasa, ni mtu makini sana
 
huyu dada yuko kwenye non stop menstruation
 
Kapandisha nyege.Hana akili.Kahamia CCM lakini kipele cha kalio kinamtuma akajikunie CDM!
 
Wenzake waliounga juhudi waliropoka eeh wakachoka nae atachoka tu
 
Ni vema Upendo akawashauri wana CCM waache kupeleka fedha za rushwa Chadema kwa kuwa wamekwisha stukiwa. Awaeleze CCM dili la kuisambaratisha Chadema kupitia fedha zao limebuma!
 
Ana elimu kubwa sana, anaweza kuwa hata mkurugenzi wa taasisi kubwa sana hapa nchini, ukiacha mambo ya siasa, ni mtu makini sana
Hakuna mtu makini wa hivi mkuu. Wenye akili wote watakwambia, she is cheap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…