Pre GE2025 Upendo Peneza awahamasisha wanachadema sasa waandamane kuelekea ofisi za chama chao kupinga rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu alikuwa anatabirika sana kuhusu kurubuniwa wala sishangai.
 
anasaka cheo lakini kwa CCM ngumu mno,bora aombe tu kupata mchumba,anajidharirisha na mtindo wa siasa za kizamani. Chadema limekwishaota mizizi huyo mdogo sana haliwezi wala ccm hawaoni mchango wake
 
anasaka cheo lakini kwa CCM ngumu mno,bora aombe tu kupata mchumba,anajidharirisha na mtindo wa siasa za kizamani. Chadema limekwishaota mizizi huyo mdogo sana haliwezi wala ccm hawaoni mchango wake
Upendo anapigilia msumari hoja ya Lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…