Upendo uliotukuka wa wanaume juu ya watoto, mke wazazi na ndugu zao ndio huwafanya wawe wezi, mafisadi, matapeli na hata majambazi

Upendo uliotukuka wa wanaume juu ya watoto, mke wazazi na ndugu zao ndio huwafanya wawe wezi, mafisadi, matapeli na hata majambazi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Lengo la Uzi huu si kuhamasisha matendo maovu ya kijambazi, wizi, uporaji, utapeli au ufisadi. Lengo langu ni kuonyesha sababu kuu kwanini matendo haya maovu hufanywa hasa na wanaume zaidi kuliko wanawake.

Ni upendo tu uliotukuka kwa ndugu zao na familia zao ndiyo hupelekea wanaume kutafuta plan B bila kujali consequence ya hiyo plan

Mwanaume mwenye akili timamu huumia sana akimwona mtoto , mke au mzazi wake akiteseka na hapo hujitoa muhanga kwa kazi yoyote.

Wanaume hufa haraka kuliko wanawake kwasababu mwanaume huiwazia familia yake masaa 24, hata ndotoni huiwazia familia yake huku mwanamke muda mwingi huwaza vitu vidogovidogo kama upatu, sherehe, viatu, mikoba na nywele.
 
Habari!
Lengo la Uzi huu si kuhamasisha matendo maovu ya kijambazi, wizi, uporaji, utapeli au ufisadi. Lengo langu ni kuonyesha sababu kuu kwanini matendo haya maovu hufanywa hasa na wanaume zaidi kuliko wanawake.
Ni upendo tu uliotukuka kwa ndugu zao na familia zao ndiyo hupelekea wanaume kutafuta plan B bila kujali consequence ya hiyo plan.
Mwanaume mwenye akili timamu huumia sana akimwona mtoto , mke au mzazi wake akiteseka na hapo hujitoa muhanga kwa kazi yoyote.
Wanaume hufa haraka kuliko wanawake kwasababu mwanaume huiwazia familia yake masaa 24, hata ndotoni huiwazia familia yake huku mwanamke muda mwingi huwaza vitu vidogovidogo kama upatu, sherehe, viatu, mikoba na nywele.
Hakikaa🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom