Kijana kaamua kubembea.. kasajili mitandao yote..Vipi huyo kijana ametoa Jogooo kung'oa mshangazi...?
Ila wakuu namuonea Donge huyo chalii kulimiliki jimama kama hili lenye fedha afu zuri burudani sana hapo mwendo wa kutembeza Mtinyama tu.
#Dah kweli ukiwa na njaa unawaz ngono tu [emoji125][emoji125][emoji125]
Yaani ni mbingu na ardhi..kijana bado Toto kbs dahWeee huyu mama ata mimi nlitamani kujua kwann baba Iman hapostiwi siku hizi dah! Ila mtoa mada na wewe eti kafunga ndoa na kijana mwingine hahah
Kuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...Yaani ni mbingu na ardhi..kijana bado Toto kbs dah
Wala sihukumu
Kuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...
Alikua anamuanika sana enzi za Instagram mpaka watu walimuonya mwanaume yule alikua msuper sanaNdoa ilivunjika zaman mno akaona aibu kuweka wazi,alifanya sana jitihada za mazoezi waapii mwili ndo kwanzaa unastawi.
Kama ilivyo kawaida ya wadada wa mjini kufuga mashost kama james delicious si ajabu bibie alipokonywa mume na shost mmoja au jamaa aliamua kujisogeza pembeni kwa mke wa pili
Sasa kama hapo amefunga ndoa atakwenda kupumzika kwa mwenzi yupi? Au mpango wa kando😁😁Huwa wanawageuza hawa wamama kama samaki; halafu wanakwenda kwa wenzi wao kupumzika!!
Alikua anamuanika sana enzi za Instagram mpaka watu walimionya mwanaume yule alikua msuper sana
Nahisi huyu mdada ka-assist mwenyewe (kajitolea mwenyewe mahali) na kafunga mwenyewe.
Mie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui😆😆!Kuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...
Hee kumbe za urithi!!! Ndo maana anajiamini balaaOpen anaringia pesa za urithi japo anajitahidi kuziendeleza,hivyo alijiamini mwanaume hawezi lolote mbele ya zile pesa. Hata huyu aliyenae lengo likitimia kijana anaondoka mapemaa
Hehehehe aisee .new couple in townNdo new style in town