joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Na wamama wanajua kulea na kuhonga,yaani jamaa yeye akashinde gym ile apate pumzi ya kitandani.Ndo new style in town
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wamama wanajua kulea na kuhonga,yaani jamaa yeye akashinde gym ile apate pumzi ya kitandani.Ndo new style in town
Kuwa na vijana wadogo hivi ni pasua kichwa,ila ndio hivyo kipendacho roho...
Na wamama wanajua kulea na kuhonga,yaani jamaa yeye akashinde gym ile apate pumzi ya kitandani.
Nasikia mumewe alioa mke wa pili walivyokua wanapendana jamn tusiamini Sana couple za mitandao wanaonekanaga Kama wako perfect
Hahahaha hapo kny tamthilia sasa na bongo movie ndio mbingu na ardhi, Ukweli binafsi naamini kuna umri ukifika ndoa ikishindikana hakuna sababu ya kuolewa tena, ikibidi saana awe mtu mzima mwenye kujielewa come and stay😁 Lkn ndiyo tasty za watu wa mujini hizo!Mie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui😆😆!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee🤧🤧🤧!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Hee kumbe za urithi!!! Ndo maana anajiamini balaa
Hahaha kiserengeti hapana kwa kweli hata awe kama malaika, najua hata nikikutambulisha hutafurahia😁Kiserengeti siyo Prishaz? 😉😉
Sijui unaanzaje anzaje kumtongoza mmama kama huyu,yaani ukauzu huo mimi sina kabisa.Viben Wapo wanaokumbuka majukumu yao(shinda gym kazi kitandani,hakuna new girlfriend)sema wengine wakiona dharau zimezidi wanasanuka kama uchebe
Ndo nyingi za insta maigizo tupu.
Hahaha nimecheka kwa sautiWazazi wao waliwaachia pesa na biashara za maana. Umeona ee na vinywele vyake visivyo na shukrani pesa ipo si viote tu na kustawi kama shamba lake la mboga mboga.
Si yule dada anajipost kavaa michupi mikubwa?Nasubiria uzi wa ndoa ya mbuta nanga jamani ee mbuta nae kaolewa tena kanisani kabisaa
Sijui unaanzaje anzaje kumtongoza mmama kama huyu,yaani ukauzu huo mimi sina kabisa.
Ila wamama wa siku hizi wanakutongoza wenyewe.
Si yule dada anajipost kavaa michupi mikubwa?
Duu wazee wa connection wanasimamia mchongo mzima.Vijana wengi hawatongozi wanatafuta madalali wanaokua kiunganisho mfano umependa jimama andaa ka mshiko kidogo au ka ahadi kwa dalali kama aristotle,lokole au mashost wa mhusika etc dalali anamaliza mambo
Jimama akikupenda anaanza mazoea na kampan yako mpaka anakufikia na hufurukuti pale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...kujichetua kote mtandaani na ile michupi yake leo kuna mtu kafika bei....Huyo huyu keshapata blanket lake lenye pumzi
Mbona Leo mnashangaa wkt mlikua mnamshauri nyakoo afanye hivi ukishirikiana na cariha imekua ajabu tena[emoji23][emoji23][emoji23]Chezea ma shost weyeeeeeh, akaporwa mume ki ulaini hahahah, kutwa kumuiga wema yule hajaolewa ndo maan anakuwa nao mashost,.
Sasa mwenzangu yupo ndani ya ndoa afu anakuwa na shost lol, wanaume wenyewe hawa wa chovya chovya na hawachagui sehemu, ili hali ulimi utalamba na kutambua ladha mweeeeeh.
Ila hongera yake kwa kupata tulizo la hisia zake na kuamua kuhalalisha kabisaaah. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Mie nachekaga na Yale mazoezi yake...alafu sijui hanaga mshauri kuhusu mavazi?dah... Au mie nacomplicate Sana? Body Ile uvae mitaiti jaman ya nn?Wazazi wao waliwaachia pesa na biashara za maana. Umeona ee na vinywele vyake visivyo na shukrani pesa ipo si viote tu na kustawi kama shamba lake la mboga mboga.