Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

...lakini Prishaz wahenga si walisema Kipenda roho hula nyama KAVU? Au? hahahahahah

Umri wa kiserengeti utategemea umri wa mwanamke, kwa hivyo kama mwanamke ana 34yrs, mwanaume akawa kny 20's tayari hapo ameshafaa kuchezea timu ya under 17. Huoni hapo ni tatizo kubwa jamani BAK ? Raha ya mapenzi msipishane sana bwana
 
Mie hata wiki moja siwezi ishi naye! Hakawii kuwa anasikiza tu bongofleva na matamthilia ya sultan sijui kara sevda sijui[emoji38][emoji38]!
Basi tu imekuwa trend ya kijinga Sana...wewe umri Kama wa huyu dada unahamu gani Tena kuishi na mwanamume mwingine? Unawaonesha Nini wanao? Si ana binti kbs huyu? Unashindwaje kukaa na wanao ukawalea tu? Kama ni Mahusiano yako yawe ya Siri sirini! Eti unaachika unaenda kuolewa Tena oyeee[emoji1784][emoji1784][emoji1784]!tena unaolewa na bongofleva..hutaacha ona rangi zote
Open kitchen kubwa jinga hivi umri umeenda hvo anataka jipya gani nadhani hapo anafikiri ana mkomoa mumewe. Kuna umri ukifika unatulia tu Sasa hako kakijana open ana muzaa kabisa huku ukicheza rede, Raha ya mwanaume akuzidi kila kitu ndo inakuwa heshima
 
Duh kumbe wapo mule mule
Hahaha kuna mmoja aliniambia yeye shida yake kubwa ni adress! Aitwe Mrs BAK ! Sasa hao ndio wale wanakufa na tai shingoni ili tu aonekane nae ameolewa! Sasa mume wa open kitchen wako kny ile ile nyumba ya former hazband,hivi kuna heshima kweli!
 
Open kitchen kubwa jinga hivi umri umeenda hvo anataka jipya gani nadhani hapo anafikiri ana mkomoa mumewe. Kuna umri ukifika unatulia tu Sasa hako kakijana open ana muzaa kabisa huku ukicheza rede, Raha ya mwanaume akuzidi kila kitu ndo inakuwa heshima
up


Unawaza Kama Mimi wewe..Raha ya mume akuzidi elimu...upeo..mawazo...kutafakari...hela...busara! Na awe mwalimu wako kitandani dadek..hapo ndo unakamilisha utu wa mwanamke!

Unadhan huyu wataongea nin Sasa la maana! Daily atamjia na stry za uchebe
 
Mbona Leo mnashangaa wkt mlikua mnamshauri nyakoo afanye hivi ukishirikiana na cariha imekua ajabu tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Tofautisha kulipiza na kuendelea na maisha Sasa huyo open mzee anatokaje na kiben ten, angetafta mwanaume anayemzidi ex waako viwango Sasa huyu anatoka na mtoto wa kumzaa si mjinga sasa
 
Haki mbutananga kapata bwana mzuri handsome nimeona picha za mbutananga kapendeza kweli
Hebu tupia bas hapa tuone, nmemis kumuona cheusi mangla [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hiki ndicho kitu wasichokifahamu..... Pesa haimpi mwanamke thamani mwanamke katika mausiano.

Kuna mtu alisema mwanamke mwenye pesa huwa anapewa heshima katika mahusiano, nikasema duh sasa ingekuwa hivyo wale wanawake wenye pesa kule ulaya si wote wangekuwa na ndoa za heshima mbona kila siku wao ndio wanaongoza kwa kupigwa kibuti.

Hata hapa bongo tunaona story ni ile ile Jide, shilole, etc.

Conclusion:

Wanawake msihusishe pesa, elimu, kipato, wadhifa nafasi yenu kwenye maisha ya mwanaume na ndoa. Wewe hadhi yako kwa mwanaume ni heshima unayompa. Usitoke na mtu wa kiwango cha chini yako kiupeo (sijasema elimu) atakusumbua kichwa kwa mawivu na kutokuelewa nini unafanya.

Kubali proposal ya mwanaume ambae ana run na frequency moja na wewe kisha mpe heshima na nafasi yake..... Kwa maneno mengine huyo ni kijana wa mwanamke mwenzako, mtoto kwa Mama hakui, umeazimwa cheo cha kuwa mama, muonyeshe huyo kijana kuwa wewe unaongeza thamani ya maisha yake pale mama yake alipoishia...
 
...lakini@ Prishaz wahenga si walisema Kipenda roho hula nyama KAVU? Au? hahahahahah
Sahihi kabisa, wahenga walishatoa uhuru ila waja akina siye ndiyo tuko busy kutoa mitazamo yetu! Na wahenga wa kizungu wakasema love has no count.... . Ila mmhhh!
 
Kumbukumbu yangu kama haipo vibaya hii ni ndoa ya 3,maana aliolewa ndoa ya kanisani mwanzoni, labda nafananisha
Basi yeye ni shida iweje ndoa tatu zimushinde ajichunguze marriage is not for everyone
 
Duh! Hivi ni wa 90's! Anafaa kuwa mwanae mlezi[emoji16][emoji16]...mwana nae atajiweka maana amefika kny green pasture
Kamezaliwa 95 au 96 niliona akichambwa na Rachel instagram
 
Huyu open kitchen sidhani ka kaolewa kiupendo nadhani anamkomoa mumewe aliyeoa dada mwingine mrembo kuliko yeye. Na inakuwaje dada mzima anaolewa na katoto ka tisini na kitu karibia 2000 naona hapo hamna ndoa ni Kama mama kaoa mwanawe
True, hayupo serious na mahusiano yake. Kuna umri ukifika mashindano na mbwembwe za usichana zinatakiwa kuachwa maana wanaume wakati huo wanakuwa hawapo tayari tena na michezo wanajenga maisha.....
 
up


Unawaza Kama Mimi wewe..Raha ya mume akuzidi elimu...upeo..mawazo...kutafakari...hela...busara! Na awe mwalimu wako kitandani dadek..hapo ndo unakamilisha utu wa mwanamke!
Unadhan huyu wataongea nin Sasa la maana! Daily atamjia na stry za uchebe
Mwanaume akuzidi kuanzia miaka kumi awe mzoefu wa kila Jambo, akizudi elimu akili na maarifa, Sasa hapo huyo open atakuwa huyo ka mwanawe Sasa watakuwa wanashauriana Nini. Mimi mwenyewe sipendi date mwanaume tunayelingana umri kwanza huwa naona namshinda akili na yeye bado mtoto
 
Back
Top Bottom