Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Hahaaaa, hivi resty ugomvi wao na Rachel huwa Nini pamoja na mange daily kutukana, nilicheka nilivoona yule mubabu wa Rachel jamani si anatumia mkongojo yule, Kuna kipindi aliringishia ndoa sijui kikaishia wapi?
Halafu ana maziwa....Rachael huwa zinaingia na kutoka na Mange alijipaga kibali cha kutukana watu ila yeye asiguswe sasa mrembo Rachel akawa anampa za uso ndo tatizo lilipoanzia,ila kwa Resty Rachel anamuonea sidhani kama alimkosea
 
Inaonekana wewe ni Dada usie na Mambo ya kimbea kimbea kabisaaa,maana kutomjua Dada huyu was mjini ni kielelezo tosha.....mwenyewe kaja na kauli mbiu yake eti anapigania furaha yake na katusisitiza kuiga mfano wake
 
Halafu ana maziwa....Rachael huwa zinaingia na kutoka na Mange alijipaga kibali cha kutukana watu ila yeye asiguswe sasa mrembo Rachel akawa anampa za uso ndo tatizo lilipoanzia,ila kwa Resty Rachel anamuonea sidhani kama alimkosea
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.
 
Nikikumbuka mbutananga kweli kila mtu hupata wakufanana naye, I'm happy for mbutananga
Mange ana hali gani sijui maana Kuna kipindi alikuwa anamharass kumbe muda was Mungu ulikuwa bado
 
[/QUOTE][QUOTE="cariha, post: 36239783,
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.
[/QUOTE]
Sidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.
 
Siamini umefungua uzi upate taarifa za kuvinjika ndoa ya mtu usie mjua...KAZI UNAYO KWELI...?. Fanya ata kuwa unadeki chumba chako TU.mambo ya huyu Mama yanakuhusu Nini?
Ndio wewe Upendo?
 
[QUOTE="cariha, post: 36239783,
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.
[/QUOTE]
Sidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.[/QUOTE]Rachel alibakwaga na kina Nani na chanzo Cha kubakwa ilikuwa Nini, ni kweli ni muathirika huyo Rachel, maana bifu lake na mange ni Kama wa palestina na Israel haliishi
 
[QUOTE="cariha, post: 36239783,
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.
Sidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.[/QUOTE]Rachel alibakwaga na kina Nani na chanzo Cha kubakwa ilikuwa Nini, ni kweli ni muathirika huyo Rachel, maana bifu lake na mange ni Kama wa palestina na Israel haliishi
[/QUOTE]
Ilisemekana mume wa mtu na alikuwa akimvurumushia mitusi yake ile mwenye mume ndo akahuniwa,naweza kuamini anachosema Mange japo si kwa asilimia mia.
 
Sidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.
Rachel alibakwaga na kina Nani na chanzo Cha kubakwa ilikuwa Nini, ni kweli ni muathirika huyo Rachel, maana bifu lake na mange ni Kama wa palestina na Israel haliishi
[/QUOTE]
Ilisemekana mume wa mtu na alikuwa akimvurumushia mitusi yake ile mwenye mume ndo akahuniwa,naweza kuamini anachosema Mange japo si kwa asilimia mia.[/QUOTE]Unaibaje mume wa mtu huku unakuwa jeuri aisee michepuko mwingine hutafta Shari zisizo na kichwa Wala miguu, kujiona mijanja kuliko mama mijengo, mchepuko kula nafasi yako sepa Sasa ukiji mwambafai ndio unanyooshwa hivo
 
Hahaaaa, hivi resty ugomvi wao na Rachel huwa Nini pamoja na mange daily kutukana, nilicheka nilivoona yule mubabu wa Rachel jamani si anatumia mkongojo yule, Kuna kipindi aliringishia ndoa sijui kikaishia wapi?
Jana sijui Rachel alisahau kumeza dawa sio kwa kumtukana huko Resty...kumbe Resty alitoka na mzimbabwe ndio kicha Cha ugomvi wao
 
Jana sijui Rachel alisahau kumeza dawa sio kwa kumtukana huko Resty...kumbe Resty alitoka na mzimbabwe ndio kicha Cha ugomvi wao
Nimeamka asubuhi nikamu check Rachel kumbe ugomvi wao wivu wa mapenzi, eti resty alikuwa ana mtaka mzimbabwe kinguvu na ampe deal ndio shida, huyo resty naye si awe kimya na yeye maana madhambi yake mengi yanajulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…