missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
loh gumu kweli naambiwa user not found haha
Jina gumu kweli anatumia tempetesiously racheltemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina gumu kweli anatumia tempetesiously racheltemu
loh gumu kweli naambiwa user not found haha
Halafu ana maziwa....Rachael huwa zinaingia na kutoka na Mange alijipaga kibali cha kutukana watu ila yeye asiguswe sasa mrembo Rachel akawa anampa za uso ndo tatizo lilipoanzia,ila kwa Resty Rachel anamuonea sidhani kama alimkoseaHahaaaa, hivi resty ugomvi wao na Rachel huwa Nini pamoja na mange daily kutukana, nilicheka nilivoona yule mubabu wa Rachel jamani si anatumia mkongojo yule, Kuna kipindi aliringishia ndoa sijui kikaishia wapi?
Inaonekana wewe ni Dada usie na Mambo ya kimbea kimbea kabisaaa,maana kutomjua Dada huyu was mjini ni kielelezo tosha.....mwenyewe kaja na kauli mbiu yake eti anapigania furaha yake na katusisitiza kuiga mfano wakeMnhhh uachike uumie..mwenzako anaoa wewe unabaki na donda la roho...akitokea mtu yeyote akakupa 'attention' huyo huyo unae..unasomba kama gari la mchanga...sad, very sad. Wanawake tunadhania tunaweza ku 'hit' back kwa waliokua wapenzi wetu kwa kutuachia majeraha ila kiukweli tunaoumia ni sisi wenyewe...anyway asanteni kwa kunijulisha mtu wa kufollow insta..mie nilikua simjui atii...😀
Jina hilo gumu ka Nini sijuiloh gumu kweli naambiwa user not found haha
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.Halafu ana maziwa....Rachael huwa zinaingia na kutoka na Mange alijipaga kibali cha kutukana watu ila yeye asiguswe sasa mrembo Rachel akawa anampa za uso ndo tatizo lilipoanzia,ila kwa Resty Rachel anamuonea sidhani kama alimkosea
Mange ana hali gani sijui maana Kuna kipindi alikuwa anamharass kumbe muda was Mungu ulikuwa badoNikikumbuka mbutananga kweli kila mtu hupata wakufanana naye, I'm happy for mbutananga
Wanaogopa kula block watakosa umbea full kumsifia ujinga[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]watu wa insta huwajui nini Numbi?
Hapo wanamg'ong'a pembeni[emoji1787][emoji16]
Hivo upo kumbe..jamani
Ndio wewe Upendo?Siamini umefungua uzi upate taarifa za kuvinjika ndoa ya mtu usie mjua...KAZI UNAYO KWELI...?. Fanya ata kuwa unadeki chumba chako TU.mambo ya huyu Mama yanakuhusu Nini?
Sidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.[/QUOTE]Rachel alibakwaga na kina Nani na chanzo Cha kubakwa ilikuwa Nini, ni kweli ni muathirika huyo Rachel, maana bifu lake na mange ni Kama wa palestina na Israel haliishi[QUOTE="cariha, post: 36239783,
Rachel Kuna siku hutulia mwezi mchanga ukianza anaanza matusi huwa najiuliza ana nini, halafu hao na mange siwalikuwa marafiki chakushangaza sikuhizi maadui hatari mange humtukana Hadi hoyce temu.
Rachel alibakwaga na kina Nani na chanzo Cha kubakwa ilikuwa Nini, ni kweli ni muathirika huyo Rachel, maana bifu lake na mange ni Kama wa palestina na Israel haliishiSidhani kama washawahi kuwa marafiki hawa,unakumbuka Rachel alivyobakwa akatupwa mtaroni ilikuwa hakuna insta na Mange yuko na Uturn?Mange alifurahi sana.
Jana sijui Rachel alisahau kumeza dawa sio kwa kumtukana huko Resty...kumbe Resty alitoka na mzimbabwe ndio kicha Cha ugomvi waoHahaaaa, hivi resty ugomvi wao na Rachel huwa Nini pamoja na mange daily kutukana, nilicheka nilivoona yule mubabu wa Rachel jamani si anatumia mkongojo yule, Kuna kipindi aliringishia ndoa sijui kikaishia wapi?
Sasa kama hapo amefunga ndoa atakwenda kupumzika kwa mwenzi yupi? Au mpango wa kando😁😁
Nimeamka asubuhi nikamu check Rachel kumbe ugomvi wao wivu wa mapenzi, eti resty alikuwa ana mtaka mzimbabwe kinguvu na ampe deal ndio shida, huyo resty naye si awe kimya na yeye maana madhambi yake mengi yanajulikanaJana sijui Rachel alisahau kumeza dawa sio kwa kumtukana huko Resty...kumbe Resty alitoka na mzimbabwe ndio kicha Cha ugomvi wao