Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Ohoooooo..

Jamaa nilikuwa najua yuko vizuri kiuchumi kitamboπŸ˜„
Mmh mbona nasikia Serengeti alikua dereva wake akasimamia show vzr Mlezi akamuelewa wakaelekea Kanisani kukamilisha. Baada ya muda, chawa akarudia tabia yake ya Awali ya chovya-chovya Mama akamtupia jinzi zake nje jamaa nasikia mpaka leo analia tu arudishwe home aendelee kufyonza faida ya vipodozi
 
Instagram anatumi jina gani?...
 
Kudadeki! Halafu ndoa yenyewe bado changa sana aisee..
Shida ndio hii ukishajijua wewe huna kisu kirefu tuliza mshono tu.

Ila Walokole si wanapaswa kusamehe 7Γ—70 imekuwaje tenaπŸ˜‚
 
Meniina au munalove?[emoji849][emoji849][emoji15]
 
[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1751][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kudadeki πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…