Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Ohoooooo..

Jamaa nilikuwa najua yuko vizuri kiuchumi kitambo😄
Mmh mbona nasikia Serengeti alikua dereva wake akasimamia show vzr Mlezi akamuelewa wakaelekea Kanisani kukamilisha. Baada ya muda, chawa akarudia tabia yake ya Awali ya chovya-chovya Mama akamtupia jinzi zake nje jamaa nasikia mpaka leo analia tu arudishwe home aendelee kufyonza faida ya vipodozi
 
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya kifahari, magari na hujinasibu mumewe Dr. Baba Iman Baba wa mwanae mmoja humpa support kubwa Sana.

Tulizoea kuona akipost picha za mumewe huyo na yeye na mtoto. Alimpa sifa zoote. Huyu dada ni kioo cha jamii na Wanawake wengi yeye ndo 'role model' wao.

Mara ghafla naona tena Kafunga Ndoana kijana mwingine.

Je ni nini kilimpata yule Mume wake Baba Iman, Daktari wake wa maradhi yote?

Cc: warumi


View attachment 1525868
Instagram anatumi jina gani?...
 
Mmh mbona nasikia Serengeti alikua dereva wake akasimamia show vzr Mlezi akamuelewa wakaelekea Kanisani kukamilisha. Baada ya muda, chawa akarudia tabia yake ya Awali ya chovya-chovya Mama akamtupia jinzi zake nje jamaa nasikia mpaka leo analia tu arudishwe home aendelee kufyonza faida ya vipodozi
Kudadeki! Halafu ndoa yenyewe bado changa sana aisee..
Shida ndio hii ukishajijua wewe huna kisu kirefu tuliza mshono tu.

Ila Walokole si wanapaswa kusamehe 7×70 imekuwaje tena😂
 
Best kwan hujui menina kaumbuliwa na ka kijana alikokua anakafanya house boy, kumbe ndo ka ki been10 kake,
sasa akakasingizia kameiba hela, wee sio kwa mkaka yule mweeee alitema cheche kali za moto, insta kulichafuka, kumbe menina ni tapeli na mwizi na ana madeni kibao.
Uwiiiiiiiih
Meniina au munalove?[emoji849][emoji849][emoji15]
 
Sure na mwanaume aliyetulia hawezi kwenda kujilipua kwa Makabati. Mm nimekula Sana enzi nasoma chuo maana sisi toka familia duni Chuo hatuna (pesa za kuhonga) Zaid ya Mkopo nikawa nakamua mke wa mchungaji wetu. Basi siku tunaenda kutifuana anakuja na msosi kwenye ma-hotpot nakula kabisa kabla ya kupanga ulingoni. Aisee yule maza kumfanya mpaka akojoe ilikua kazi Sana. Ila akikojoa analegea na usingizi juu. Nimepiga mpaka nilipomalizana 4th year enzi zile LLB tunaenda Internship (kabla ya Law school) nilioomaliza tukapotezana tumekuja kuonana 2019 nikala kimoja kwa ndomu
[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1751][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We naee unapenda umbea ila wala huna mafile muhimu ya kupigia umbea.

Iko hivi
Rest alizaa na mtu, alokuwa anamiliki nyumba waliyopanga WCB enzi hizo, akakamatwa akawa jela.
So resty si alikuwa na mtoto nae, ndo mtoto akawa mmliki. Na ndo Resty akawa anapokaa kodi kama custodian.
Jamaa katika jela kachukua nyumba yake na kashaiuza.
Sawa?


Kuhusu Shkuba, alikuwa ni boyfriend wa Resty huyo huyo ila hawakuzaa, shkiba kazi zake ndo hizo, so rumour has it kuwa alikuwa anambebesha na resty.

Sasa hivi Rachel kaolewa ana mtoto mwingine na mumewe wa sasa.
Ila huku sa hiz analea yeye.
Jamaa anatunzwa tu.
Bibie busy na samaki na American garden ,juzi Kaanza kuuza majiko ya mkaa.


Upo?
Sasa uache kupenda kazi bil kuwa na vifaa shirikishi.
Raha ya umbea uwe na mafile ya watu husika.
Ndo hata ukiletewa kwa codes gani, we unaruka nao.
Sawa?

I miss warumi
Kudadeki 😂🤣
 
Back
Top Bottom