Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Wewe tuna kuunga kwenye kamati yetu ya wakiumeni..
 
Taasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice (na kujituma) maana hata Kama mtu anatangulia Mbele ya Haki ana uhakika watoto wake wataishi fresh. Sasa hv uchwara-uchwara kutwa insta kijitu kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha na KUKUGOMBEZA tena mbele ya watu.
Cc: Katibu mwenezi, Marioo Association - Taifa.
 
Nimecheka Sana eti viselebriti ushuzi
 
Baadhi ya watu hawakustahili ndoa maishani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…