Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Nakumbukaga Da Pendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema yeye ni Upendo na sio Pendo...ametoa waraka wa katazo hivi karibuni kule instaJaman Da Pendo anasherehekea Sikukuu Mpweke!! Hakika hela sio kila kitu.
Maajabu!Amesema yeye ni Upendo na sio Pendo...ametoa waraka wa katazo hivi karibuni kule insta
Vijana wanavumilia mengiMaajabu!
Wengi wenye hilo jina naonaga wanapenda itwa Pendo....inashangaza yeye yuko vice versa 😄
😄😄Vijana wanavumilia mengi
Sijamuona kwenye pichaz za mbugani...au ndo alikuwa cameraman 😄Sachko nasikia nae ndoa na yule Serengeti wake chali
Aah wapi. Dogo katimuliwa mazimaSijamuona kwenye pichaz za mbugani...au ndo alikuwa cameraman 😄
😄😄 dah nuksiAah wapi. Dogo katimuliwa mazima
Chawa hafugiki😄😄 dah nu
Wewe tuna kuunga kwenye kamati yetu ya wakiumeni..Kufanya mahusiano na wanawake wanaojifanaya/wanaoigiza kuwa wanajua harakati za wanawake huwa ni changamoto sana...
Utagombana nae almost kila siku kwa mambo yasiyohitaji marumbano yote kwasababu atataka kukuonyesha kuwa ana maamuzi binafsi haamuliwi.
Hivi vibwana mdogo vi marioo a.k.a ndio mzee ndio kimbilio lao maana hauwa vinaufyata kwasababu vinalipiwa bili zote na bi dada.
Sasa huu ni mzaha kwa taasisi hii takatifu. Kama unajua haupo serious na mahusiano ya ndoa why unaigiza kuingia na watoto wadogo.....?!
Wanawake wa bongo wengi wao mizinguo sana.
Nimecheka Sana eti viselebriti ushuziTaasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice maana hata Kama mtu unatangulia Mbele ya Hali una uhakika wanao wataishi fresh. Sasa hv vingine kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha Tena Mbele ya watu.
Cc: Katibu mwemezi, Marioo Association - Taifa.
Havijafikia u-celebrity mtu divorced/single mother ana bar anauza nusu kreti kwa siku baasi insta full mipicha na editing za kutosha anamzimikia Marioo badala ya kumheshimu anataka kumpelekesha Kama chizi. #Marioo_tumekataa#Nimecheka Sana eti viselebriti ushuzi
Baadhi ya watu hawakustahili ndoa maishaniTaasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice (na kujituma) maana hata Kama mtu anatangulia Mbele ya Haki ana uhakika watoto wake wataishi fresh. Sasa hv uchwara-uchwara kutwa insta kijitu kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha na KUKUGOMBEZA tena mbele ya watu.
Cc: Katibu mwenezi, Marioo Association - Taifa.
Really?Unacheza wewe[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Wana mitumbo kuliko hata huyo jiko wazi