Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Kufanya mahusiano na wanawake wanaojifanaya/wanaoigiza kuwa wanajua harakati za wanawake huwa ni changamoto sana...

Utagombana nae almost kila siku kwa mambo yasiyohitaji marumbano yote kwasababu atataka kukuonyesha kuwa ana maamuzi binafsi haamuliwi.

Hivi vibwana mdogo vi marioo a.k.a ndio mzee ndio kimbilio lao maana hauwa vinaufyata kwasababu vinalipiwa bili zote na bi dada.

Sasa huu ni mzaha kwa taasisi hii takatifu. Kama unajua haupo serious na mahusiano ya ndoa why unaigiza kuingia na watoto wadogo.....?!


Wanawake wa bongo wengi wao mizinguo sana.
Wewe tuna kuunga kwenye kamati yetu ya wakiumeni..
 
Taasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice (na kujituma) maana hata Kama mtu anatangulia Mbele ya Haki ana uhakika watoto wake wataishi fresh. Sasa hv uchwara-uchwara kutwa insta kijitu kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha na KUKUGOMBEZA tena mbele ya watu.
Cc: Katibu mwenezi, Marioo Association - Taifa.
 
Taasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice maana hata Kama mtu unatangulia Mbele ya Hali una uhakika wanao wataishi fresh. Sasa hv vingine kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha Tena Mbele ya watu.
Cc: Katibu mwemezi, Marioo Association - Taifa.
Nimecheka Sana eti viselebriti ushuzi
 
Taasisi ya ndoa imevamiwa na vi-celebrity ushuzi Hapo Dar. Vinamuiga Mama la Mama Dangoti yule anakata fuba la maana hata mtu anasacrifice (na kujituma) maana hata Kama mtu anatangulia Mbele ya Haki ana uhakika watoto wake wataishi fresh. Sasa hv uchwara-uchwara kutwa insta kijitu kina boutique sinza sijui bar Mbezi Basi kinataka kukupelekesha na KUKUGOMBEZA tena mbele ya watu.
Cc: Katibu mwenezi, Marioo Association - Taifa.
Baadhi ya watu hawakustahili ndoa maishani
 
Back
Top Bottom