Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Sachko nasikia nae ndoa na yule Serengeti wake chali
Nasikia jamaa alikuja kuwa anakula maids wa harusi. Dada kamtupia jamaa nguo nje kwenye Shangazi kaja. Kwa Sasa jamaa anahaha kuomba msamaha anadai njaa kali
**Zaidi ya nguo na dhakari, jamaa Hana kitu
 
Menina kafanyaje tena hebu dadavua
Best kwan hujui menina kaumbuliwa na ka kijana alikokua anakafanya house boy, kumbe ndo ka ki been10 kake,
sasa akakasingizia kameiba hela, wee sio kwa mkaka yule mweeee alitema cheche kali za moto, insta kulichafuka, kumbe menina ni tapeli na mwizi na ana madeni kibao.
Uwiiiiiiiih
 
Best kwan hujui menina kaumbuliwa na ka kijana alikokua anakafanya house boy, kumbe ndo ka ki been10 kake,
sasa akakasingizia kameiba hela, wee sio kwa mkaka yule mweeee alitema cheche kali za moto, insta kulichafuka, kumbe menina ni tapeli na mwizi na ana madeni kibao.
Uwiiiiiiiih
Aibu Sana. Ndo maana Serengeti mwimbaji akaamua kuoa katoto kadooogo
 
Best kwan hujui menina kaumbuliwa na ka kijana alikokua anakafanya house boy, kumbe ndo ka ki been10 kake,
sasa akakasingizia kameiba hela, wee sio kwa mkaka yule mweeee alitema cheche kali za moto, insta kulichafuka, kumbe menina ni tapeli na mwizi na ana madeni kibao.
Uwiiiiiiiih
Huyu menina mbona anahangaika hvo ka pisi kikaangoni, hajakoma tu na mwijaku sasa kaumbuliwa viben ten sio watu vinakuzalilisha mchana kweupe, Ila menina naye kashindikana ndoa tatu ximemshinda zote
 
Huyu menina mbona anahangaika hvo ka pisi kikaangoni, hajakoma tu na mwijaku sasa kaumbuliwa viben ten sio watu vinakuzalilisha mchana kweupe, Ila menina naye kashindikana ndoa tatu ximemshinda zote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo menina anavojibu bas m2 unacheka wee had tumbo linakata, khaaaah dunia tamuu hii wallah
 
Vibeten sio vya kuendekeza tena na ule mwili apumzike tu mwishowe vibeten mvikule binti yake
Na vitamkula tyuuuh yule binti ake. Then akili ita mkaa fresh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
labda wanaume wa sayari tofauti ila hawa wetu no bahati nasibu unaweza tuliza akili ukaopoa dude likakuektia picha la kihindi
Tatizo la baadhi ya wanawake wanaume waliotulia hawawataki ,wanataka walamba lips ,wavaa suruali za kubana ,wavaa supra ,wanaoweka waves ,kuvaa miwani mikubwa na kupaka scrub!! Sasa mwanamme kama huyo lazima atakuwa na mambo mengi!!
 
Tatizo la baadhi ya wanawake wanaume waliotulia hawawataki ,wanataka walamba lips ,wavaa suruali za kubana ,wavaa supra ,wanaoweka waves ,kuvaa miwani mikubwa na kupaka scrub!! Sasa mwanamme kama huyo lazima atakuwa na mambo mengi!!
Sure na mwanaume aliyetulia hawezi kwenda kujilipua kwa Makabati. Mm nimekula Sana enzi nasoma chuo maana sisi toka familia duni Chuo hatuna (pesa za kuhonga) Zaid ya Mkopo nikawa nakamua mke wa mchungaji wetu. Basi siku tunaenda kutifuana anakuja na msosi kwenye ma-hotpot nakula kabisa kabla ya kupanga ulingoni. Aisee yule maza kumfanya mpaka akojoe ilikua kazi Sana. Ila akikojoa analegea na usingizi juu. Nimepiga mpaka nilipomalizana 4th year enzi zile LLB tunaenda Internship (kabla ya Law school) nilioomaliza tukapotezana tumekuja kuonana 2019 nikala kimoja kwa ndomu
 
Tatizo la baadhi ya wanawake wanaume waliotulia hawawataki ,wanataka walamba lips ,wavaa suruali za kubana ,wavaa supra ,wanaoweka waves ,kuvaa miwani mikubwa na kupaka scrub!! Sasa mwanamme kama huyo lazima atakuwa na mambo mengi!!
ndugu yangu weee kuna wengine hata huo usharobaro hawana lakini hawajatulia
 
ndugu yangu weee kuna wengine hata huo usharobaro hawana lakini hawajatulia
Hakuna mtu perfect hata mmoja ,hata hao unaoona wamesherekea jubilee ya miaka 25 ya ndoa wamepitia changamoto nyingi ,vitabu vya dini vinasema wanawake wawapende waume zao na wanaume waishi na wake zao kwa akili.....Sasa Open Kitcheni hata miezi 6 ya ndoa hajamaliza kashaachana na kiben 10 sasa hapo kuna upendo kweli? Akiendekeza kuolewa kuacha si atakuja kufikisha wanaume 50? Ndoa ni uvumilivu hakuna mtu perfect.
 
Back
Top Bottom