Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Upendo wa Open Kitchen kafunga ndoa. Je, nini kilimpata yule mumewe wa mwanzo?

Shilole na shamsa wana matumbo flat[emoji15][emoji15][emoji15]
NDIO.
NDIO.jpg
 
Hakuna mtu perfect hata mmoja ,hata hao unaoona wamesherekea jubilee ya miaka 25 ya ndoa wamepitia changamoto nyingi ,vitabu vya dini vinasema wanawake wawapende waume zao na wanaume waishi na wake zao kwa akili.....Sasa Open Kitcheni hata miezi 6 ya ndoa hajamaliza kashaachana na kiben 10 sasa hapo kuna upendo kweli? Akiendekeza kuolewa kuacha si atakuja kufikisha wanaume 50? Ndoa ni uvumilivu hakuna mtu perfect.
kuna changamoto hazivumiliki lakini siwezi mhukumu maana sijui hasa kilichotokea
 
Weee Pendo kachukua kamtupia virago vyake. Ila kweli pale Pendo hakuuliza, yule jama anapenda kitonga. Sema wengine walisema Pendo alikua anatafta mtu kama houseboy wakumsaidia kwenye biashara huku na mzigo anakula. Sasa kijana akawa mvivu. Anaona aibu kupeleka order za mchicha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Best kwan hujui menina kaumbuliwa na ka kijana alikokua anakafanya house boy, kumbe ndo ka ki been10 kake,
sasa akakasingizia kameiba hela, wee sio kwa mkaka yule mweeee alitema cheche kali za moto, insta kulichafuka, kumbe menina ni tapeli na mwizi na ana madeni kibao.
Uwiiiiiiiih
Ni muna sio menina
 
Ameandika @open_kitchen2014 . . . Inabidi ifike mahali watu muache cyber bullying unajua not everyone is strong like me unapokaa nakuanza kumuonea mtu hujui mwenzako anapitia nini wakati huo wewe uanchokiona ni weakness yake lakini je wewe ni mkamilifu ,je.wewe hutelezi ,je wewe hufanyi makosa no one is perfect kwanini wewe uwe mtu ambaye unapenda kusherekea weakness ya mwenzako its a big big shame especially ukiangalia maisha yako zero success unajificha nyuma ya simu na kukashifu wengine what a weak person you are mimi nakwambia in capital letters YOU ARE WEAK , YOU ARE NOTHING BUT A LOSER NO MATTER WHAT UTAANDIKA MANGAPI KUWADONDOSHA WATU BUT YOU ARE NOTHING NA HAO MASHABIKI ZAKO LIKEWISE WAKUSHADADIA BECAUSE SHETANI LAZIMA AWE NA WAFUASI WAKE . . . Mnataka watu waishi maisha ya ukweli and yet wakionyesha uhalisia wao ndio mnatumia.kama.fimbo ya kuwachapia mtu akiongea ukweli hamtaki mnataka aongee uwongo ndio mfurahi so sad ila mwisho wa siku mtu unajijengea chuki na watu then ukiangalia siku unashida nobody will be there for you hata hao wafuasi wako siku ya siku wanakukimbia na shida zako na mifano halisi tunayo especially ni aibu kubwa kwa mtoto wa kike kuwa no so much hate . Kila mtu anapitia milima na mabonde kwenye maisha hakuna aliye mtakatifu wala fundi wa maisha zaidi ya Mwenyezi Mungu maisha ni mafunzo kila siku tunajifunza mimi kwakweli nawashangaa sana wanawake especially kwa uwongo doh its such a big big shame najua story yake nakuja kuwapa then F$%^**#in what ok umeyamwaga ya uwongo na kweli umemuumiza mtu unapata nini mwisho wa siku stupid kabisa stop cyber bullying people look at your life look at your family jiuluze tu for a minute mimi ni nani au haya ndio maisha ya kijinga niliyochagua hata mama yako naye Ana historia UKIMTUKANA MWANAMKE MWENZAKO NI SAWA NA UMEJITUKANA MWENYEWE PERIOD SAY NO TO CYBER BULLYING
 
Ameandika @open_kitchen2014 . . . Inabidi ifike mahali watu muache cyber bullying unajua not everyone is strong like me unapokaa nakuanza kumuonea mtu hujui mwenzako anapitia nini wakati huo wewe uanchokiona ni weakness yake lakini je wewe ni mkamilifu ,je.wewe hutelezi ,je wewe hufanyi makosa no one is perfect kwanini wewe uwe mtu ambaye unapenda kusherekea weakness ya mwenzako its a big big shame especially ukiangalia maisha yako zero success unajificha nyuma ya simu na kukashifu wengine what a weak person you are mimi nakwambia in capital letters YOU ARE WEAK , YOU ARE NOTHING BUT A LOSER NO MATTER WHAT UTAANDIKA MANGAPI KUWADONDOSHA WATU BUT YOU ARE NOTHING NA HAO MASHABIKI ZAKO LIKEWISE WAKUSHADADIA BECAUSE SHETANI LAZIMA AWE NA WAFUASI WAKE . . . Mnataka watu waishi maisha ya ukweli and yet wakionyesha uhalisia wao ndio mnatumia.kama.fimbo ya kuwachapia mtu akiongea ukweli hamtaki mnataka aongee uwongo ndio mfurahi so sad ila mwisho wa siku mtu unajijengea chuki na watu then ukiangalia siku unashida nobody will be there for you hata hao wafuasi wako siku ya siku wanakukimbia na shida zako na mifano halisi tunayo especially ni aibu kubwa kwa mtoto wa kike kuwa no so much hate . Kila mtu anapitia milima na mabonde kwenye maisha hakuna aliye mtakatifu wala fundi wa maisha zaidi ya Mwenyezi Mungu maisha ni mafunzo kila siku tunajifunza mimi kwakweli nawashangaa sana wanawake especially kwa uwongo doh its such a big big shame najua story yake nakuja kuwapa then F$%^**#in what ok umeyamwaga ya uwongo na kweli umemuumiza mtu unapata nini mwisho wa siku stupid kabisa stop cyber bullying people look at your life look at your family jiuluze tu for a minute mimi ni nani au haya ndio maisha ya kijinga niliyochagua hata mama yako naye Ana historia UKIMTUKANA MWANAMKE MWENZAKO NI SAWA NA UMEJITUKANA MWENYEWE PERIOD SAY NO TO CYBER BULLYING
Hiyo ndio gharama ya kuwa maarufu. Avumilie tu..mie ndio nna yangu lkn who cares? Mtu mwenyewe hata mjumbe wa nyumba kumi hanitambui
 
Back
Top Bottom