- Thread starter
- #21
Hii ndiyo iliyokuwa bahati mbaya zaidi. Ukizingatia wanaweza kuwa ni wale wale waliokuwapo Dodoma siku Ile.Walio na jukumu la kumlinda ndio hao hao wauaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo iliyokuwa bahati mbaya zaidi. Ukizingatia wanaweza kuwa ni wale wale waliokuwapo Dodoma siku Ile.Walio na jukumu la kumlinda ndio hao hao wauaji
Lakini aliyekuwa anawatuma wakati ule sasa hayupo, naamini hawa wanaogopa wakijaribu watachukuliwa hatua.Hii ndiyo iliyokuwa bahati mbaya zaidi. Ukizingatia wanaweza kuwa ni wale wale waliokuwapo Dodoma siku Ile.
Kumbe upepo ukibadilika unaendana na ulinzii
Lakini aliyekuwa anawatuma wakati ule sasa hayupo, naamini hawa wanaogopa wakijaribu watachukuliwa hatua.
Kapotea huku Kila habari inayoandikwa kumuhusu nyie chawa mnakuwa wa kwanza kuifatilia? Umeongea kinyonge sana. Lisu atawapasua vinenaLissu Kapotea tayari!!! Tunahadaana tu humu mitandaoni!!
Ngoma ikiwamba sana hupasuka.
Napita tu.🚮
Hakika.Atavuna alichopanda...
Ufafanuzi wako tafadhaliAtavuna alichopanda...
Wala hamna tatizo, unafikiri waliotaka kumuua Lissu Mama Samia hawajui? as long as Rais kashasema mikutano ruksa nani wa kuguna?
Hii Katiba ndigu yangu ni Rais ndiyo kila kitu, unafikiri Lissu mjinga angekuja bila kauli ya Rais ?
siyo kwa Tanzania hii ndugu.Hapa kwenye wa ndani na nje ni pa kupaangalia vyema.
Revisiting the Aquino assassination: 39 years later | Philippine News Agency
Forensic study shows Galman shot Aquino MANILA – The public defender who worked for the release of soldiers convicted more than 30 years ago over the deaths of former senator Benigno “Ninoy” Aquino Jr. and Rolando Galman said the government should consider pushing for the extradition of the…www.pna.gov.ph
Pillipines aliuwawa Aquino bila Marcos aliyekuwa rais kuijua njama.
siyo kwa Tanzania hii ndugu.
GengeSSiyo siri tena kuwa tangia kurejea nchini kwa mwanasiasa TAL, hali ya kisiasa nchini imebadilika kabisa.
Haipo shaka kuwa huyu ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa zaidi kwa sasa hapa nchini na makundi yote. Humo wamo wafuasi wa chama chake na hata wafuasi wa vyama hasimu, chawa na viongozi wao bila kuwasahau watanzania wengine.
Tathmini ya kawaida mitaani na kwenye mitandao inaonyesha hivyo. Kwa hakika haihitajiki TWAWEZA kuthibitisha hilo.
Wapo ambao kwenye kujitoa kimasomaso wametaka kumkejeli na hata kutaka kukejeli kushambuliwa kwake Dodoma. Wapo ambao wana wivu kama ule wa Six, wenye hata kutamani wao wangekuwa huyu mwamba. Wapo wenye kuchukizwa na popularity yake. Wapo wenye kujidhania kuwa ni bora zaidi kwanini iwe huyu, nk nk.
Zaidi sana wapo waliomfyatulia risasi na hata wale wenye lao jambo, walioliratibu shambulizi zima kule Dodoma.
"Yapo pia mataifa hasimu yanayotuzunguka ambayo yanaweza kupenda kuukaanga mbuyu."
Kwa hakika itakuwa kujidanganya sana kudhani kuwa eti hali ni shwari bin sawia.
"TAL na CHADEMA chonde chonde, uinzi unasibu uhalisia."
Genge S nalo lifuatiliwe.Siyo siri tena kuwa tangia kurejea nchini kwa mwanasiasa TAL, hali ya kisiasa nchini imebadilika kabisa.
Haipo shaka kuwa huyu ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa zaidi kwa sasa hapa nchini na makundi yote. Humo wamo wafuasi wa chama chake na hata wafuasi wa vyama hasimu, chawa na viongozi wao bila kuwasahau watanzania wengine.
Tathmini ya kawaida mitaani na kwenye mitandao inaonyesha hivyo. Kwa hakika haihitajiki TWAWEZA kuthibitisha hilo.
Wapo ambao kwenye kujitoa kimasomaso wametaka kumkejeli na hata kutaka kukejeli kushambuliwa kwake Dodoma. Wapo ambao wana wivu kama ule wa Six, wenye hata kutamani wao wangekuwa huyu mwamba. Wapo wenye kuchukizwa na popularity yake. Wapo wenye kujidhania kuwa ni bora zaidi kwanini iwe huyu, nk nk.
Zaidi sana wapo waliomfyatulia risasi na hata wale wenye lao jambo, walioliratibu shambulizi zima kule Dodoma.
"Yapo pia mataifa hasimu yanayotuzunguka ambayo yanaweza kupenda kuukaanga mbuyu."
Kwa hakika itakuwa kujidanganya sana kudhani kuwa eti hali ni shwari bin sawia.
"TAL na CHADEMA chonde chonde, uinzi unasibu uhalisia."
Unaoonekana full kukenua ndugu mjumbe kulikoni na maisha ya watu?Hakika.
Lissu Hana ajenda yoyote mpya ni yaleyale ya nilipigwa nilipigwa ,,hakuna ajenda ataropoka ropoka bila badae huyo ubelgii
GengeS
Genge S nalo lifuatiliwe.
Kama tulivyolifukia jambazi la Chato?Taifa adui kwa Tanzania ni lipi ?
Kwa mfano ikitokea TL akauwawa unahisi kuna kitu chochote kitatokea tofauti na mazishi?