Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.Unaoonekana full kukenua ndugu mjumbe kulikoni na maisha ya watu?
Quote unavyoweza mimi sio mwanasiasa. Ila ngoma inavuma sana. Dialy ni thread za lissu. Hisia kali kuliko uhalisiaKama unasomeka kukereka kwako na Lissu hapa:
View attachment 2511336
Tundu Lissu amtembelea Freeman Mbowe nyumbani kwake
Una makasiriko kama ya yule aliyepangilia ya Dodoma.
joni mwenzetu huyo anakereka kwamba ngoma inawambwa sana 🤣🤣.
Quote unavyoweza mimi sio mwanasiasa. Ila ngoma inavuma sana. Dialy ni thread za lissu. Hisia kali kuliko uhalisia
Ushauri tayari ushafanyiwa kazi , angalia video akiwa Dodoma leoSiyo siri tena kuwa tangia kurejea nchini kwa mwanasiasa TAL, hali ya kisiasa nchini imebadilika kabisa.
Haipo shaka kuwa huyu ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa zaidi kwa sasa hapa nchini na makundi yote. Humo wamo wafuasi wa chama chake na hata wafuasi wa vyama hasimu, chawa na viongozi wao bila kuwasahau watanzania wengine.
Tathmini ya kawaida mitaani na kwenye mitandao inaonyesha hivyo. Kwa hakika haihitajiki TWAWEZA kuthibitisha hilo.
Wapo ambao kwenye kujitoa kimasomaso wametaka kumkejeli na hata kutaka kukejeli kushambuliwa kwake Dodoma. Wapo ambao wana wivu kama ule wa Six, wenye hata kutamani wao wangekuwa huyu mwamba. Wapo wenye kuchukizwa na popularity yake. Wapo wenye kujidhania kuwa ni bora zaidi kwanini iwe huyu, nk nk.
Zaidi sana wapo waliomfyatulia risasi na hata wale wenye lao jambo, walioliratibu shambulizi zima kule Dodoma.
"Yapo pia mataifa hasimu yanayotuzunguka ambayo yanaweza kupenda kuukaanga mbuyu."
Kwa hakika itakuwa kujidanganya sana kudhani kuwa eti hali ni shwari bin sawia.
"TAL na CHADEMA chonde chonde, uinzi unasibu uhalisia."
Yeye nwenyewe anatamka waziwazi kuwa aliyetaka kumwua ni JP.Siyo siri tena kuwa tangia kurejea nchini kwa mwanasiasa TAL, hali ya kisiasa nchini imebadilika kabisa.
Haipo shaka kuwa huyu ndiye mwanasiasa anayefuatiliwa zaidi kwa sasa hapa nchini na makundi yote. Humo wamo wafuasi wa chama chake na hata wafuasi wa vyama hasimu, chawa na viongozi wao bila kuwasahau watanzania wengine.
Tathmini ya kawaida mitaani na kwenye mitandao inaonyesha hivyo. Kwa hakika haihitajiki TWAWEZA kuthibitisha hilo.
Wapo ambao kwenye kujitoa kimasomaso wametaka kumkejeli na hata kutaka kukejeli kushambuliwa kwake Dodoma. Wapo ambao wana wivu kama ule wa Six, wenye hata kutamani wao wangekuwa huyu mwamba. Wapo wenye kuchukizwa na popularity yake. Wapo wenye kujidhania kuwa ni bora zaidi kwanini iwe huyu, nk nk.
Zaidi sana wapo waliomfyatulia risasi na hata wale wenye lao jambo, walioliratibu shambulizi zima kule Dodoma.
"Yapo pia mataifa hasimu yanayotuzunguka ambayo yanaweza kupenda kuukaanga mbuyu."
Kwa hakika itakuwa kujidanganya sana kudhani kuwa eti hali ni shwari bin sawia.
"TAL na CHADEMA chonde chonde, uinzi unasibu uhalisia."
Ushauri tayari ushafanyiwa kazi , angalia video akiwa Dodoma leo
Anafatiliwa na nani-yeye tu ndiye ajiweka kwenye mwanga kama changudoa wa mtaa wa OhioKwa sababu hizo ndiyo maana anafuatiliwa mno labda kuliko mwingine yeyote hapa nchini?
Labda ungezipitia tena sababu zako kuona kama zinaweza kumshawishi yeyote?
TAL ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya bongo for now. Ana sauti kubwa. Asaidie ipatikane katiba mpya haraka ila nadhani Bado hayuko salama.Hakika Tundu Lissu, ndiye Nelson Mandela wa nchi hii, hivi sasa
Kupitia mateso aliyoyapata Kwa kupigwa risasi 16, mchana kweupe, bila hata mtuhumiwa hata mmoja kukamatwa Ili ahojiwe.
Huyu ndiye ninayemtabiri kuwa the next President of our country