Upepo kisiasa umebadilika, Lissu aongezewe ulinzi

Hii ndiyo iliyokuwa bahati mbaya zaidi. Ukizingatia wanaweza kuwa ni wale wale waliokuwapo Dodoma siku Ile.
Lakini aliyekuwa anawatuma wakati ule sasa hayupo, naamini hawa wanaogopa wakijaribu watachukuliwa hatua.
 
Lakini aliyekuwa anawatuma wakati ule sasa hayupo, naamini hawa wanaogopa wakijaribu watachukuliwa hatua.

Kwa hali ilivyo hiyo haitoshi. Washirika wa aliyekuwa akiwatuma wangalipo. Waliokuwa wakitumwa wangalipo. Waliojiapiza kuwa wangetekeleza wangalipo.

Mahasimu wake kisiasa wapo. Maadui wa ndani wapo. Maadui wa nje wapo.

Was he assassinated? Bishop Muge’s death remains a mystery

Bishop Alexander Muge Kenya aligongwa na lorry.
 
Kama hakufa 07/09 hawezi kuuliwa na mtu
 
Wala hamna tatizo, unafikiri waliotaka kumuua Lissu Mama Samia hawajui? as long as Rais kashasema mikutano ruksa nani wa kuguna?

Hii Katiba ndigu yangu ni Rais ndiyo kila kitu, unafikiri Lissu mjinga angekuja bila kauli ya Rais ?
 
Lissu Hana ajenda yoyote mpya ni yaleyale ya nilipigwa nilipigwa ,,hakuna ajenda ataropoka ropoka bila badae huyo ubelgii
 
Wala hamna tatizo, unafikiri waliotaka kumuua Lissu Mama Samia hawajui? as long as Rais kashasema mikutano ruksa nani wa kuguna?

Hii Katiba ndigu yangu ni Rais ndiyo kila kitu, unafikiri Lissu mjinga angekuja bila kauli ya Rais ?

Hapa kwenye wa ndani na nje ni pa kupaangalia vyema.

Revisiting the Aquino assassination: 39 years later

Pillipines aliuwawa Aquino bila Marcos aliyekuwa rais kuijua njama.
 
siyo kwa Tanzania hii ndugu.
 
GengeS
Genge S nalo lifuatiliwe.
 
Lissu Hana ajenda yoyote mpya ni yaleyale ya nilipigwa nilipigwa ,,hakuna ajenda ataropoka ropoka bila badae huyo ubelgii

Kwa sababu hizo ndiyo maana anafuatiliwa mno labda kuliko mwingine yeyote hapa nchini?

Labda ungezipitia tena sababu zako kuona kama zinaweza kumshawishi yeyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…