Upepo kisiasa umebadilika, Lissu aongezewe ulinzi

Ushauri tayari ushafanyiwa kazi , angalia video akiwa Dodoma leo
 
Yeye nwenyewe anatamka waziwazi kuwa aliyetaka kumwua ni JP.

Naamini hata akifa sasa hivi atakuwa kahusika JP na si mwingine.
 
Kwa sababu hizo ndiyo maana anafuatiliwa mno labda kuliko mwingine yeyote hapa nchini?

Labda ungezipitia tena sababu zako kuona kama zinaweza kumshawishi yeyote?
Anafatiliwa na nani-yeye tu ndiye ajiweka kwenye mwanga kama changudoa wa mtaa wa Ohio
 
Hakika Tundu Lissu, ndiye Nelson Mandela wa nchi hii, hivi sasa

Kupitia mateso aliyoyapata Kwa kupigwa risasi 16, mchana kweupe, bila hata mtuhumiwa hata mmoja kukamatwa Ili ahojiwe.

Huyu ndiye ninayemtabiri kuwa the next President of our country
TAL ni nguzo muhimu kwa maendeleo ya bongo for now. Ana sauti kubwa. Asaidie ipatikane katiba mpya haraka ila nadhani Bado hayuko salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…