Upepo wa kisiasa nchini hausomeki, kuna nini?

Upepo wa kisiasa nchini hausomeki, kuna nini?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Katika kipindi hiki kifupi kama miezi mitatu hadi sita, upepo wa kisiasa hausomeki. Matukio tunayoyaona mengine si tu siyo ya Kitanzania lakini yanakinzana na hata mila, utamaduni, umoja wetu kitaifa na hata imani yetu.

Mengine ni aibu hata kuyasema maana ni laana kwa Taifa letu. Viongozi kwa sana wako kimya, kimya kizito. Kuna nini?
  • Watoto wadogo wanabakwa na kulawitiwa.
  • Watu wanauwawa kama majuzi Mohammed Kibao wa Tanga.
  • Watu wanatekwa na kutupwa maporini
Wakati huo huo mikeka ya teuzi na tengua ni kila baada ya mwezi mmoja. Sasa inaelekea gundi inayotuunganisha Watanzania inazidi kuwa nyepesi.

Mwalimu alisema ili tuendelee, tunahitaji vitu vinne; Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora!

Tunakosea wapi?

WAZO MBADALA:


View: https://www.facebook.com/chechetimes/videos/534875735776176/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v

CHADEMA kuna hili nalo mkalitazame.
 
Sina neno la kuongeza
IMG-20240910-WA0005.jpg
 
Lipo genge (Cartel) hatari lililoenea na kushika kila idara na taasisi nyeti serikalini....

➡Lipo Ikulu kwa jina la "washauri wa Rais". Kazi yake ni kuhakikisha Rais anapewa taarifa zile zilizo salama kwao tu....

➡Lipo na limeiteka TISS.....

➡Lipo na limeteka maofisa wa juu wote wa Jeshi la Polisi....

➡Lipo na limeiteka Mahakama. Lina mahakimu na majaji wao maalumu kusimamia kesi zote zinazokwenda huko na ku - endanger existence yao.....

➡Lipo Bungeni. Limehakikisha kuwa kiongozi wa muhiimili huo (Spika) na baadhi ya wabunge ni wakala wao. Kila hoja inayo endanger existence ya genge hili it's either haipati nafasi kabisa kuingia na kujadiliwa na ikitokea ikaingia, basi watakaopewa nafasi ya kusema in favour ya genge hili ni wale wabunge mawakala wa genge hili. Rejea mjadala wa sakata la Bashe na sukari dhidi ya mbunge Luhaga Mpina.....

➡Genge hili lina mkono wake hadi ndani ya madhehebu ya dini kanisani na misikitini. Wapo mawakala wake ambao ni mashekhe, wachungaji na maaskofu.....

##All in all hili genge ni cartel hatari kwelikweli, very powerful financially (kifedha) na ndiyo silaha yao kuu na fedha hizi zimeibwa serikalini. Lengo ni ku - take total control ya serikali yote...

##Ili ku - restore orders & laws ktk nchi na taifa letu ni lazima mkuu wa nchi (Rais) atoke gizani, nuru imzukie na ashukue hatua otherwise yeye ndiye hasa hayuko salama na litahakikisha linamtoa madarakani....!

##Mimi sina shaka yoyote kuwa Mwigulu Nchemba (Waziri wa fedha) yumo kwenye genge hili na kuna possibility kuwa yeye ndiye kiongozi wake...!
 
Lipo genge (Cartel) hatari lililoenea na kushika kila idara na taasisi nyeti serikalini....

➡Lipo Ikulu kwa jina la "washauri wa Rais". Kazi yake ni kuhakikisha Rais anapewa taarifa zile zilizo salama kwao tu....

➡Lipo na limeiteka TISS.....

➡Lipo na limeteka maofisa wa juu wote wa Jeshi la Polisi....

➡Lipo na limeiteka Mahakama. Lina mahakimu na majaji wao maalumu kusimamia kesi zote zinazokwenda huko na ku - endanger existence yao.....

➡Lipo Bungeni. Limehakikisha kuwa kiongozi wa muhiimili huo (Spika) na baadhi ya wabunge ni wakala wao. Kila hoja inayo endanger existence ya genge hili it's either haipati nafasi kabisa kuingia na kujadiliwa na ikitokea ikaingia, basi watakaopewa nafasi ya kusema in favour ya genge hili ni wale wabunge mawakala wa genge hili. Rejea mjadala wa sakata la Bashe na sukari dhidi ya mbunge Luhaga Mpina.....

➡Genge hili lina mkono wake hadi ndani ya madhehebu ya dini kanisani na misikitini. Wapo mawakala wake ambao ni mashekhe, wachungaji na maaskofu.....

##All in all hili genge ni cartel hatari kwelikweli, very powerful financially (kifedha) na ndiyo silaha yao kuu na fedha hizi zimeibwa serikalini. Lengo ni ku - take total control ya serikali yote...

##Ili ku - restore orders & laws ktk nchi na taifa letu ni lazima mkuu wa nchi (Rais) atoke gizani, nuru imzukie na ashukue hatua otherwise yeye ndiye hasa hayuko salama na litahakikisha linamtoa madarakani....!

##Mimi sina shaka yoyote kuwa Mwigulu Nchemba (Waziri wa fedha) yumo kwenye genge hili na kuna possibility kuwa yeye ndiye kiongozi wake...!
Mungu ataamua kesi tu ipo siku.
 
Lipo genge (Cartel) hatari lililoenea na kushika kila idara na taasisi nyeti serikalini....

➡Lipo Ikulu kwa jina la "washauri wa Rais". Kazi yake ni kuhakikisha Rais anapewa taarifa zile zilizo salama kwao tu....

➡Lipo na limeiteka TISS.....

➡Lipo na limeteka maofisa wa juu wote wa Jeshi la Polisi....

➡Lipo na limeiteka Mahakama. Lina mahakimu na majaji wao maalumu kusimamia kesi zote zinazokwenda huko na ku - endanger existence yao.....

➡Lipo Bungeni. Limehakikisha kuwa kiongozi wa muhiimili huo (Spika) na baadhi ya wabunge ni wakala wao. Kila hoja inayo endanger existence ya genge hili it's either haipati nafasi kabisa kuingia na kujadiliwa na ikitokea ikaingia, basi watakaopewa nafasi ya kusema in favour ya genge hili ni wale wabunge mawakala wa genge hili. Rejea mjadala wa sakata la Bashe na sukari dhidi ya mbunge Luhaga Mpina.....

➡Genge hili lina mkono wake hadi ndani ya madhehebu ya dini kanisani na misikitini. Wapo mawakala wake ambao ni mashekhe, wachungaji na maaskofu.....

##All in all hili genge ni cartel hatari kwelikweli, very powerful financially (kifedha) na ndiyo silaha yao kuu na fedha hizi zimeibwa serikalini. Lengo ni ku - take total control ya serikali yote...

##Ili ku - restore orders & laws ktk nchi na taifa letu ni lazima mkuu wa nchi (Rais) atoke gizani, nuru imzukie na ashukue hatua otherwise yeye ndiye hasa hayuko salama na litahakikisha linamtoa madarakani....!

##Mimi sina shaka yoyote kuwa Mwigulu Nchemba (Waziri wa fedha) yumo kwenye genge hili na kuna possibility kuwa yeye ndiye kiongozi wake...!
Maneno mazito haya mkuu.
 
Mwalimu alisema ili tuendelee, tunahitaji vitu vinne; Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora!

Tunakosea wapi?
Tulikosea kwenye duplication ya siasa safi na uongozi bora, ni kitu kile kile, mtaji una miss hapo, ili kuendana na theory ya Adam Smith ya Land, labor, capital na entrepreneurship, kosa la Nyerere ni moja tuu kusema fedha sii msingi, fedha ni matokeo, kiukweli fedha ni msingi sana!, and in fact, fedha ndio kila kitu!, inahamisha watu na milima!. Twigwa wawili jike na dume, wameibwa kutoka Serengeti na watu wenye fedha, wakawapeleka Dubai kwenye zoo, leo watu wanamiminika zaidi kuwaangalia twiga wa Dubai, kuliko wale wa Serengeti!.
P
 
Sio kama mtangulizi wake? Hii kauli yako inawauma sana Chawa wake. Sijui watakula wapi😄😄
Bora hata mtangulizi wake alivuka kuingia awamu ya pili kidogo. Yeye hatoboi mbali ya hiki kiporo alichomalizia.

By 2026 kama atakuwa hai basi atakuwa busy akisimulia hadithi za alfu leila ulela kwa wajukuu zake Kizimkazi.
 
Back
Top Bottom