Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Katika kipindi hiki kifupi kama miezi mitatu hadi sita, upepo wa kisiasa hausomeki. Matukio tunayoyaona mengine si tu siyo ya Kitanzania lakini yanakinzana na hata mila, utamaduni, umoja wetu kitaifa na hata imani yetu.
Mengine ni aibu hata kuyasema maana ni laana kwa Taifa letu. Viongozi kwa sana wako kimya, kimya kizito. Kuna nini?
Mwalimu alisema ili tuendelee, tunahitaji vitu vinne; Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora!
Tunakosea wapi?
WAZO MBADALA:
View: https://www.facebook.com/chechetimes/videos/534875735776176/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
CHADEMA kuna hili nalo mkalitazame.
Mengine ni aibu hata kuyasema maana ni laana kwa Taifa letu. Viongozi kwa sana wako kimya, kimya kizito. Kuna nini?
- Watoto wadogo wanabakwa na kulawitiwa.
- Watu wanauwawa kama majuzi Mohammed Kibao wa Tanga.
- Watu wanatekwa na kutupwa maporini
Mwalimu alisema ili tuendelee, tunahitaji vitu vinne; Watu, Ardhi, Siasa safi na Uongozi bora!
Tunakosea wapi?
WAZO MBADALA:
View: https://www.facebook.com/chechetimes/videos/534875735776176/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
CHADEMA kuna hili nalo mkalitazame.