Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama 😁😁😁 makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
 
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata

Itakuwa umemsahau jamaa...

Soon ataibuka na ajenda mpya atarudi kwenye mazungumzo vijiwe vya kahawa...
 
Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama [emoji16][emoji16][emoji16] makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Ngoja aibukie hanang huko

Akatoe pole

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…