Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Subiri raundi ya pili. Ya kwanza ilikuwa Kanda ya Ziwa. Iliisha kwa mafanikio na inayofuata itaanza na kuisha kwa mafanikio. Stay tuned!Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya
alikuwa na haraka sana ya kuzunguka,alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata