Anaweza kuwa kashakufaUsione Kobe kainama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuwa kashakufaUsione Kobe kainama!
Makonda hachukiwi na mtu yoyote isipokuwa kinachomtafuna ni mavuno ya mbegu alopanda akiwa RC.Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama 😁😁😁 makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Vibe la media linakusaidia nn ww bwege bichwa lako km kocha wa yangaNchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama 😁😁😁 makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Haya mambo hayalisadii taifa. Hapa ni sawa na kumpatia samaki mtu mwenye njaa.Acha nikupe facts japo tuliona pale ishu zote zilikuwa solved. Aliyedhulumiwa gar dada yule kesho yake alipewa gari mpya.sijui aliekuwa ana shida na boda alopatiwa
Wahenga waliliongea sana hili, ila chawa walishupaza shingo kwa sifa na mapambio. Makonda ni hewa tu, hakuna kitu pale, hiyo nafasi aliyempatia anapaswa kujitafakari sana.Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Uko sahihi kabisa mkuu, ila kwa bashite alibugi sana na SSH anaendelea kuonyesha madhaifu yake..Watu mnasahau CCM ni Mwenyekiti siyo hao wengine. Huyo Mwanamke amepwaya na hata amlete nani kwenye hizo nafasi za chama bado CCM itaboronga tu.
Mpaka sasa HV cjaelewa kwa nn Mama SAMIA amempa jamaa hyo nafasi. Km sio kutuchezea ni nini. Halafu utasikia mijitu inasifia... Hii nchi ni hopeless kabisa.Wahenga waliliongea sana hili, ila chawa walishupaza shingo kwa sifa na mapambio. Makonda ni hewa tu, hakuna kitu pale, hiyo nafasi aliyempatia anapaswa kujitafakari sana.
Kumbe mnamfwatilia kimyakimya, aisee mnahaha kila siku mnamuwazia Makonda.... Akiongekea jambo mnamcrash asioongea m anasema Hana jipya.... Hii inaonesha kwakiasi gani anavowakera! Yaan kukaa kimya kwake kunakukera kuongea kwake kunakukera aisee utakufa kwa Pressure!Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Acha wivu!Mpaka sasa HV cjaelewa kwa nn Mama SAMIA amempa jamaa hyo nafasi. Km sio kutuchezea ni nini. Halafu utasikia mijitu inasifia... Hii nchi ni hopeless kabisa.
Mwambie mama akupe uenezi!Bado hana uzoefu na uenezi, atajifunza taratibu
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Peleka usenge huko na bichwa lako km kocha wa yangaAcha wivu!
Kamwambie mama akupe wewe
Naunga mkono hojaWahenga waliliongea sana hili, ila chawa walishupaza shingo kwa sifa na mapambio. Makonda ni hewa tu, hakuna kitu pale, hiyo nafasi aliyempatia anapaswa kujitafakari sana.
Naunga mkono hojaKwa nini Makonda ananyanyasa na kuua watu na hakikuumi chochote ww matherfckr
Nahisi kama amestopishwa, sababu niliona alikokua anaelekia hakukua mantiki yoyote zaidi ya kutengeneza uadui kati yake na viongozi wa serikaliTatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Naunga mkono hojaNa
Hihisi kama amestopishwa, sababu niliona alikokua anaelekia hakukua mantiki yoyote zaidi ya kutengeneza uadui kati yake na viongozi wa serikali
Manyama ni jina la mtu kwa jamii ya Wajita na Wakerewe ni sawa na Massawe kwa wachaga au Masanja kwa wasukuma..manyama kwa maana ya makalio makubwa.