Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama 😁😁😁 makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Makonda hachukiwi na mtu yoyote isipokuwa kinachomtafuna ni mavuno ya mbegu alopanda akiwa RC.
 
Mbona ndio tabia yake au we umemjua baada ya samia kuwa [rahisi) broo kwanza kumuulizia tu tayari umempiga chapuo au ndio wewe makonda mwenyewe umekuja pima upepo mana watu wa jf hatuelewek unaweza bishana na jamaa nchi inaenda hovyo na yeye anakubishia mpaka unapandisha miguu juu kumbe nyuma ya panzia ndio samihaa mwenyewe, ishawah nitokea juz kati humu nabishana na jamaa kuhusu mambo ya ulinzi wa tz unavyopwaya nimekaa kidogo pm hiyo dogo jiangalie shauri yako akanitumia namba na kuniamuru nimchek whtsp kuja kuangalia kumbe mkuu wa kitengo nyeti cha ulinzi ubaya nilikula bangi nikaendelea kumbishia mpaka hukohuko whtsap na kumwita bwanamdogo kama nilivyozoea jf kilichonikuta mungu anajua japokuwa mungu mwenyewe hayupo
 
Hii huyu Makonda ni kitu gani watu wanachompendea? Ni mambo gani ya maana amewahi kuifanyia hii nchi kwenye nafasi zote alizopewa?

Nashangaa unakuta majitu yanashoboka nae matherfckr kabisa
 
Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama 😁😁😁 makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Vibe la media linakusaidia nn ww bwege bichwa lako km kocha wa yanga
 
Acha nikupe facts japo tuliona pale ishu zote zilikuwa solved. Aliyedhulumiwa gar dada yule kesho yake alipewa gari mpya.sijui aliekuwa ana shida na boda alopatiwa
Haya mambo hayalisadii taifa. Hapa ni sawa na kumpatia samaki mtu mwenye njaa.

Kumpa mtu gari ama bdaboda aliyedhulmiwa siyo suluhisho la dhulma nchini. Kama kiongozi alipaswa kutengeneza sheria/mifumo, kanuni na taratibu za kuzuia dhulma nchini kote. Alichokifanya ktk matukio haya ni kutafuta kiki tu
 
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Wahenga waliliongea sana hili, ila chawa walishupaza shingo kwa sifa na mapambio. Makonda ni hewa tu, hakuna kitu pale, hiyo nafasi aliyempatia anapaswa kujitafakari sana.
 
Watu mnasahau CCM ni Mwenyekiti siyo hao wengine. Huyo Mwanamke amepwaya na hata amlete nani kwenye hizo nafasi za chama bado CCM itaboronga tu.
Uko sahihi kabisa mkuu, ila kwa bashite alibugi sana na SSH anaendelea kuonyesha madhaifu yake..
 
Wahenga waliliongea sana hili, ila chawa walishupaza shingo kwa sifa na mapambio. Makonda ni hewa tu, hakuna kitu pale, hiyo nafasi aliyempatia anapaswa kujitafakari sana.
Mpaka sasa HV cjaelewa kwa nn Mama SAMIA amempa jamaa hyo nafasi. Km sio kutuchezea ni nini. Halafu utasikia mijitu inasifia... Hii nchi ni hopeless kabisa.
 
Makonda [emoji3595] Chongolo [emoji3596]
Something smells fishy.
 
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Kumbe mnamfwatilia kimyakimya, aisee mnahaha kila siku mnamuwazia Makonda.... Akiongekea jambo mnamcrash asioongea m anasema Hana jipya.... Hii inaonesha kwakiasi gani anavowakera! Yaan kukaa kimya kwake kunakukera kuongea kwake kunakukera aisee utakufa kwa Pressure!
 
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata

Kimya huwa kina mshindo mkubwa. Ni suala la muda tu
 
Na
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Nahisi kama amestopishwa, sababu niliona alikokua anaelekia hakukua mantiki yoyote zaidi ya kutengeneza uadui kati yake na viongozi wa serikali
 
Back
Top Bottom