Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Kwamba siasa zinataka maneno? Basi ccm isingeogopa Tume huru ya Uchaguzi.
Siasa za Bongo ni maneno tu

Ila ukimpa nafasi ya Kuyatenda anayohaidi utabaki kucheka

Wanasiasa wengi ni maneno tu ila hata maisha yao tu yamewashinda

Mtu anaongea Uchumi utadhani ni mahiri kumbe domo tu

Mantiki yangu watanzania wengi usikiliza tu maneno na kuamini ila sisi tunaofahamu Siasa tunajua ahadi na maneno ya wanasiasa ni 90% Impossible things
 
Hana content, makonda hiyo siyo sehemu yake, haimfai... Huwezi kuwaamrisha wana ccm kimama kimama namna hiyo...mind you huyu jamaa pia kawaumiza watu waliokuwa chini na juu yake kwenye chama, ambao bado wapo na hawajasahau.

Alipewa kazi bila job description, responsibilities n. K ndio maana alikurupuka kumuamrisha PM bila hata kuweka heshima y cheo chake, akuita ndugu, akiamini kabisa PM yupo chini yake, kwenye level ya chama, that kind ya mentality
 
Nchi inakabiliwa na mambo gani sa hv , CCM wote wapo Hanang , na huko unataka umsikie makonda , vyombo vya habar vyote vipo pale , daah watu mna chuki kinyama [emoji16][emoji16][emoji16] makonda vibe la media analo na hyo ni nyota haizimwi Kwa chuki
Jifariji

Muuaji ana nyota!! Labda nyota ya ushirikina. Muuaji hata ajitutumue vipi, anatembea na laana mpaka siku ya kiama
 
Jadil hoja wewe mpuuzi acha kubwabwaja. Kama hoja imekuzidi akili nenda Facebook huko ukajidili ngono.

Huyu Makonda makalio makubwa alikuwa Kasi kama moto wa kifua huku akiongea upuuzi usiolisaidia taifa. Ndiyo maana msingi wa hoja ya mleta mada
Kwa vile umetoa kasoro unazohis wewe za kimwil na sio hoja dah unasikitisha kamanda
Acha nikupe facts japo tuliona pale ishu zote zilikuwa solved. Aliyedhulumiwa gar dada yule kesho yake alipewa gari mpya.sijui aliekuwa ana shida na boda alopatiwa
Kuhusu mirad wenye uhusika walitoa commitment zao.hiv hata wewe kwako unaletaga cement na kupaua siku hio hio na kujenga siku hio? Sa unachoona wewe kilibwabwaja kitu gan?
 
Back
Top Bottom