Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Upepo wa Makonda umekata mapema sana

Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Katika laws of power, never outshine your master, pia chama kimechaguliwa na kimeweka makada wake serikalini, kwa nini asiulizane nao huko? Anaanza kuwaita barabarani as if ni strangers kwa chama!?
 
Makonda aka Bashite hajawahi kufanya project akaimaliza kwa walau 51% - yaani jamaa ana KPI za chini mno kama ukimpima.
 
Jadil hoja wewe mpuuzi acha kubwabwaja. Kama hoja imekuzidi akili nenda Facebook huko ukajidili ngono.

Huyu Makonda makalio makubwa alikuja kasi sana kama moto wa kifuu huku akiongea upuuzi usiolisaidia taifa. Ndiyo msingi wa hoja ya mleta mada
Nadhani utakuwa unaishi na mme mkubwa wa Mama yako...Mbona kichwa chako kimejaa uwalo...Jitafakari nikirudi narudi n matusi ya kusababisha penalty na red Card Juu.
 
Sasa hao makada mbona huwa wanatumbuliwa Tena hadharani?
Katika laws of power, never outshine your master, pia chama kimechaguliwa na kimeweka makada wake serikalini, kwa nini asiulizane nao huko? Anaanza kuwaita barabarani as if ni strangers kwa chama!?
 
Haya mambo hayalisadii taifa. Hapa ni sawa na kumpatia samaki mtu mwenye njaa.

Kumpa mtu gari ama bdaboda aliyedhulmiwa siyo suluhisho la dhulma nchini. Kama kiongozi alipaswa kutengeneza sheria/mifumo, kanuni na taratibu za kuzuia dhulma nchini kote. Alichokifanya ktk matukio haya ni kutafuta kiki tu
Bunge kazi yake ni kumfr.. A mama yako?
 
Tatizo ni kuwa hana hoja nimemskiliza kwenye mikutano alofanya alikuwa na haraka sana ya kuzunguka, alikuwa hana hoja zaidi ya kuwaonyesha "adui" zake kuwa nimerudi dining room! Hakuwa na hoja wala mikakati yeyote.
Upepo umekata
Makonda hajakata upepo hisipokuwa hajawai kuwa na issue yoyote ya maana. Kinachomuweka kwenye ramani ni umairi na uwezo wake mkubwa wa kujipendekeza na kujipenyeza kwa viongozi wa juu. Ni mtu wa matukio na mabavu, harakati zake za siasa za kukomoana pamoja na propaganda za chawa wake ndio mtaji wake. Ni mwanasiasa anaetumia hila na mabavu zaidi kuliko mipango na mikakati.
 
FB_IMG_1702254129851.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka mpya ngoja upinduke 2024 mwwka wa uchaguzi ws kati tukielekea chaguzi kuu
 
Back
Top Bottom