Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Uongo.Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
uko wapiNi kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
Ana point ya msingi. Hili nalo neno. Wen u have nothing women wanakukwepa kama ukoma." Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.
Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.
Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"
50 Cent.
Nini maoni yako?
Nipo njiani naenda kwa mwanamke wangu kupeleka hela, amesema gas imeisha na LUKU imeisha........nitakupigia baadaeuko wapi
Kiasili wanawake huwa hawatumii ufahamu wao kwa asilimia kubwa wanaongozwa na nguvu ya asili (instinct) na hiyo instict yao haizingatii muonekano wa mwanaume bali inadili na tabia na hulka za mwanaume, hii instinct itajua sifa za huyo mwanaume kupitia kuongoza ukipata attention(ukamvutia) kwa mwanamke kupitia maneno hiyo hatua ya kwanza hatua inayofuata ni tabia yako ukiwa mstaarabu sana attention yake kwako mvuto unapotea ila ukiwa muhuni katili machepele sana ndio anakuhitaji zaidi." Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.
Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.
Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"
50 Cent.
Nini maoni yako?
Nashangaa tu, maana mimi mke wangu hayupo kwangu kwaajili ya pesa na kunabkipindi niliwahi kuishiwa kabisa na bado alisimama imara tena aliendelea kuwa mtiifu kwangu pamoja na kwamba she had a good job and package far from me.Ushimen rafiki yangu ni nini unahuzunika?
Tatizo ni sheria kandamizi ya kumpora mwanaume mali zake na kumgawia mkewe bila kujali mchango wa mke kwenye hizo maliKwa kibunda cha 50 ni sawa yeye kusema ivo.
Sasa ndgu yangu apeche alolo ambae unafanya kazi serikalini na umefungua mangi shop unategemea kumuweka mkeo asimamie hili halikuhusu kabisa.
🤣🤣🤣🤭Kila mtu ashinde mechi zake.
Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
Kulikoni jamani?Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....