Upi mtazamo wako juu ya hii kauli ya 50 cent kuhusu wanawake?

Upi mtazamo wako juu ya hii kauli ya 50 cent kuhusu wanawake?

" Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.

Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.

Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"

50 Cent.

Nini maoni yako?
Yupo sahihi kwa sheria zao kule. Hajakosea.
 
" Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.

Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.

Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"

50 Cent.

Nini maoni yako?
HUYU MWAMBA UKIMSOMA KWENYE MACHO YAKE NDIO UTAJUA HANA MASIHARA
 
Kwa kibunda cha 50 ni sawa yeye kusema ivo.

Sasa ndgu yangu apeche alolo ambae unafanya kazi serikalini na umefungua mangi shop unategemea kumuweka mkeo asimamie hili halikuhusu kabisa.
Kwa nini unasema hivyo mzee....mbona ata sie bodaboda pamoja na vijisenti bado wanatama kutukamua....hawana huruma Hawa viumbe
 
Kwa nini unasema hivyo mzee....mbona ata sie bodaboda pamoja na vijisenti bado wanatama kutukamua....hawana huruma Hawa viumbe
Amna ni kua mnasaidiana, usitegemee akupikie, akufulie na atoe muda wake kulea watoto wenu burebure lazima ulipie.

Hiyo inawahusu wale ambao Ke hana anachooffer ndani zaidi ya mbususu tu.
 
Amna ni kua mnasaidiana, usitegemee akupikie, akufulie na atoe muda wake kulea watoto wenu burebure lazima ulipie.

Hiyo inawahusu wale ambao Ke hana anachooffer ndani zaidi ya mbususu tu.
Kwani Hawa wanawake ukiwa nao nda I ya nyumba na wanafanya kazi hela yao utaiona basi....wanatama kuitumia za mume tuu
 
Back
Top Bottom