Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekua ghafla sana au sio.....Kulikoni jamani?
Kuna dada wa mtu nilitaka nijitwishe sasa naanza kuogopa.Imekua ghafla sana au sio.....
Yupo sahihi kwa sheria zao kule. Hajakosea." Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.
Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.
Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"
50 Cent.
Nini maoni yako?
Acha mkuu, wanawake ni mikopo ya chupi mkononi......Kuna dada wa mtu nilitaka nijitwishe sasa naanza kuogopa.
Lakini tunawahitaji sana huo Ndio ukweli.Acha mkuu, wanawake ni mikopo ya chupi mkononi......
HUYU MWAMBA UKIMSOMA KWENYE MACHO YAKE NDIO UTAJUA HANA MASIHARA" Wanawake hawako na wewe kwa kukupenda . 100% , 90, wapo na wewe kwa kile ulichonacho. Ninapoanzisha mahusiano na mwanamke, kabla hata ya kumkiss kuna fomu maalamu nampa asaini ili kuonesha kuwa ameridhia mwenyewe. Sitaki hadithi kesho iwe tofauti.
Wanawake wengi huamini na kudhani kuwa mwanaume asiye na kipato hana hata haki ya kupata tendo la ndoa .
Nitakuwa na watoto wangu, nitawalea mwenyewe.
Siwezi kupambana kwa miaka 50 mpaka hapa nilipo halafu mwanamke aje agawane mali zangu pasu kwa pasu kisa talaka. Kamwe siwezi kuoa"
50 Cent.
Nini maoni yako?
Mnahitaji mikopo ya chp mkononi? Achaneni nayo, fanyeni michongo mingine......Lakini tunawahitaji sana huo Ndio ukweli.
Kwa nini unasema hivyo mzee....mbona ata sie bodaboda pamoja na vijisenti bado wanatama kutukamua....hawana huruma Hawa viumbeKwa kibunda cha 50 ni sawa yeye kusema ivo.
Sasa ndgu yangu apeche alolo ambae unafanya kazi serikalini na umefungua mangi shop unategemea kumuweka mkeo asimamie hili halikuhusu kabisa.
Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
Na mama yako?Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
Na mama yako 😹Na mama yako?
Aaah kumwaga shahawa ni dhambiMnahitaji mikopo ya chp mkononi? Achaneni nayo, fanyeni michongo mingine......
Amna ni kua mnasaidiana, usitegemee akupikie, akufulie na atoe muda wake kulea watoto wenu burebure lazima ulipie.Kwa nini unasema hivyo mzee....mbona ata sie bodaboda pamoja na vijisenti bado wanatama kutukamua....hawana huruma Hawa viumbe
Linda mali zako, hujifunz tu??Tatizo ni sheria kandamizi ya kumpora mwanaume mali zake na kumgawia mkewe bila kujali mchango wa mke kwenye hizo mali
[emoji23][emoji23]Ni kweli wakuu wanawake wote ni mbwa.....
Kwani Hawa wanawake ukiwa nao nda I ya nyumba na wanafanya kazi hela yao utaiona basi....wanatama kuitumia za mume tuuAmna ni kua mnasaidiana, usitegemee akupikie, akufulie na atoe muda wake kulea watoto wenu burebure lazima ulipie.
Hiyo inawahusu wale ambao Ke hana anachooffer ndani zaidi ya mbususu tu.