Upi ni Usajili Mzuri kati ya Abdul Razak wa Yanga SC na Chikwende wa Simba SC

Upi ni Usajili Mzuri kati ya Abdul Razak wa Yanga SC na Chikwende wa Simba SC

wadau nashukuru mmenijibia majibu ya kutosha kuhusu beki ya simba maana hawa utopolo kuingilia mambo yetu hawajambo!! wamekazana kuiponda beki ya simba lakini ukijaribu kufuatilia mapungufu wala huyaoni kama unavyoyaona kwenye beki ya yanga ambayo mwamyeto wanaemsifia ndo huyu huyu alisababisha penati ya kijinga baina ya yanga na namungo, huyuhuyu ndo alitoa pasi mbovu ya kurudisha nyuma na akapigwa bao. wakikosea wa yanga wanasema eti wamechoka kwa sababu wamecheza mfululizo, wakikosea simba eti ni wazee hawawezi kukimbia.. utopolo pumbavuuuuu!!!!
 
Simba haina shida ya beki, tuna beki kibao, hayo maneno ndiyo nayasikia kwa wanaojifanya wanajua mpira, una ibrahim ame, kennedy, nyoni, onyango, wawa, sasa beki ya nini tena
HATA LIVERPOOL ALIPOTWAA EPL WATU WALISEMA HIVYO LAKINI LEO WANAAMBIWA "SAJILINI BEKI WA KATI" HAKUNA TIMU INAYOKAMILIKA
 
Ame anatosha sana kama beki namba nne. Chikwende ni usajili bora kabisa. Huyu anailazimisha timu pinzani kujihami muda wote so mabeki wake hawatakua na wakati mgumu.
Huyu wa Yanga toka Burundi ni mtoto wa dada Caze kaja kula na mjomba Kama Maximo na Jaja.
😃😃 kishacheza south,algeria tena vilabu kama mamelod na ajs kabyirie kwa mafanikio makubwa hadi kufikia al ahly kumtaka mwaka juzi,leo unacomment kiutelembwe kuwafurahisha nyau wenzako 😃
 

Attachments

  • Screenshot_20210116-082642_YouTube.jpg
    Screenshot_20210116-082642_YouTube.jpg
    57.5 KB · Views: 1
Kama beki hii ya simba ambayo imeruhusu goli chache basi hiyo beki mnayoipa ipa sifa itapigwa kumi na tisa
Simba aina beki yapo mapazia, ni swala la muda tu upepo wa goli tanotano utakapo vuma nyeti za Simba zitakua hadharani.
 
Kuwa na amani, hayo manyani yasikupe shida kabsa
wadau nashukuru mmenijibia majibu ya kutosha kuhusu beki ya simba maana hawa utopolo kuingilia mambo yetu hawajambo!! wamekazana kuiponda beki ya simba lakini ukijaribu kufuatilia mapungufu wala huyaoni kama unavyoyaona kwenye beki ya yanga ambayo mwamyeto wanaemsifia ndo huyu huyu alisababisha penati ya kijinga baina ya yanga na namungo, huyuhuyu ndo alitoa pasi mbovu ya kurudisha nyuma na akapigwa bao. wakikosea wa yanga wanasema eti wamechoka kwa sababu wamecheza mfululizo, wakikosea simba eti ni wazee hawawezi kukimbia.. utopolo pumbavuuuuu!!!!
 
Abdul Razak
Hakuna mfatiliaji na mdau wa soka bongo asiejua kwamba shida ya Yanga SC ni striker, Yanga ilikuwa inaitaji striker na imepata striker, kuhusu striker ni Mzuri kiasi gani ligi zetu za kiafrika hazina formula

Chikwende
Nadhani watu wengi wa Simba na wadaawa wa soka wengi bongo walitegemea Simba ingesajili beki wa Kati kijana na mwenye speed, lakn Barbra amesajli forward, Chikwende sio mchezaj mbaya, kwani anakasi na ataongeza kasi zaidi mbele, lakn kwa Mtazamo wangu Mimi Simba waliitaji beki wa Kati pia zaidi kuliko striker
Na pia lazima watamuacha mchezaji mmoja wa kigeni na kwa vyovyote watamuacha,morrison.pia chikwende kasajiliwa na viongozi au kocha?
 
Wenzetu mpaka wasajili mchezaji watamuangalia mechi nyingi sana yaani wanafuatilia kila kitu chako ila ni Tanzania tu mechi moja tu ukiwatesa wanakubeba. chukulia mfano wa Liverpool, Traore alikuwa anawatesa sana Liver na kila mtu akajuwa jamaa wanamchukuwa wanamtaka kumbe watu wanatizama hata wasiowatesa mara Dioto, watu vipi tena jamaa sasa star...
 
[emoji2][emoji2] kishacheza south,algeria tena vilabu kama mamelod na ajs kabyirie kwa mafanikio makubwa hadi kufikia al ahly kumtaka mwaka juzi,leo unacomment kiutelembwe kuwafurahisha nyau wenzako [emoji2]
Kwa hiyo mmewapiku Al ahly?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maajabu kama haya bonyeza*11111#

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Na pia lazima watamuacha mchezaji mmoja wa kigeni na kwa vyovyote watamuacha,morrison.pia chikwende kasajiliwa na viongozi au kocha?
Mpira wa bongo watu wanaenda hatua mbili mbele, afu wanarudi hatua nne nyuma
 
Kwa hiyo mmewapiku Al ahly?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maajabu kama haya bonyeza*11111#

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Deal lilibuma akaenda timu nyingine huko huko egypty,but sio mchezaji mdogo kwa ukanda wa afrika mashariki,Yanga inafanya usajili wake kwa kutulia na ndio maana azam na nyau uwa wanasikilizia Yanga wanamtaka nani halafu wanamuwahi,hii ni sajili bora kabisa katika ligi yetu
 

Attachments

  • IMG-20210116-WA0010.jpg
    IMG-20210116-WA0010.jpg
    54.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom