Upi ni Usajili Mzuri kati ya Abdul Razak wa Yanga SC na Chikwende wa Simba SC

Umetoa point sana, mpira ni mbinu tu, Yanga siku zote wanapenda wachezaji aina ya Usain Bolt, rejea Lunyamila, Thomas Kipese, Mohamed Hussein hivyo yaani

Chaguzi za Yanga bana
 
duh hadi takwimu mnachakachua hivi mna shida gani ?utopolo kafungwa goals 7 simba 5 au unahesabu kiyunani?
Football hua hawahesabu hivyo wana tumia ratio chukua games walizo cheza Yanga gawa idadi ya magoli waliyo concede , the same to Simba utapata jibu
 
Umetoa point sana, mpira ni mbinu tu, Yanga siku zote wanapenda wachezaji aina ya Usain Bolt, rejea Lunyamila, Thomas Kipese, Mohamed Hussein hivyo yaani

Chaguzi za Yanga bana
Wote hao baadae walitimkia Nyaunyau SC
 
Adam Salamba alisajiliwa kuikomoa Yanga tu iliyokua inamuhitaji kwa mechi za kimataifa
 
Abdoul razak kasajiliwa kwa mapendekezo ya kocha kaze,chikwende kasajiliwa kwa mapendekezo ya nani? Maana simba haina kocha
 
Huu sio mwaka juzi, na mwaka huu Simba inabd ajiandae sana mkuu, team zote alizonazo kwenye group lao wanamfahamu vizuri... Hakutakuwa na game rahisi
Kabisa mkuu akuna timu rahisi,ila Simba ya mwaka huu ni bora zaidi ya yamwaka zuji hasa idara ya ulinzi na viungo.
 
Kwani kati ya yanga na simba Nani ana shida ya beki?

Moro na mwamnyeto

Wawa na onyango

Wapi unaona wamekamilika...prone injuries za Moro ambae hawezi cheza hata mechi 5 mfululizo!
Yanga wamesajiri beki toka mtibwa.. pia kuna shaibu ninja ambaye sio mbaya pia.. YANGA hakuna shida ya beki boss
 
zile takwimu ni mechi za kufuzu ulidhani afcon kafunga goal sita?thubuutuuuu ,huyo jamaa tangu 2015 hadi 2020 mechi zote na klabu zotte ana magoal 22 kwa miaka 5
Unamaanisha jamaa ni bora kuliko hata Salah? [emoji23][emoji23] afu mbona takwimu mnaweka za mashindano ya Afcon tu ? Ina maana huyu mchezaji kwenye timu alizocheza alikuwa hafungi?
 
Ushindi wa goli moja ndio uliwapeleka robo fainali, kwani wewe ulihitaji iwe vipi?
Ikitokea kwenye Hilo kundi kila team ikashinda nyumbani watochoangalia Ni head to head ndio itaonesha utofauti mkubwa yule ambae anashinda nyumbani kwa goal 1 na yule anayepiga hamsa hamsa akiwa home.Advantage tulioipata mpaka tukaingia robo fainal ni kwasababu ya AS Vita alidraw na Al ahly nyumbani kwake tofauti na hapo tusingeshika nafasi ya pili kwasababu head to head AS Vita alituzidi.
 
Simba ya mwaka huu beki imeimarika na ugenini tumepoteza Basi si zaidi ya goli 2
 
Abdoul razak kasajiliwa kwa mapendekezo ya kocha kaze,chikwende kasajiliwa kwa mapendekezo ya nani? Maana simba haina kocha
Sarpong alisajiliwa kwa mapendekezo ya nani ili tumpige huyo jamaa?
 
Angalia goli za kufunga na kufungwa kwa timu zote mbili
Utagundua timu ipi ilikuwa inauhitaji sehemu gani
 
Ushindi wa goli moja ndio uliwapeleka robo fainali, kwani wewe ulihitaji iwe vipi?
Ilimpeleka robo kwa ujinga wa As Vita kushindwa kutumia vizuri uwanja wake wa nyumbani kwenye mchezo dhidi ya Js Soura. ila laiti kama kila timu ingetumia uwanja wake wa nyumbani basi wasingefika robo fainali kwasababu aliruhusu magoli mengi. As vita atakuwa amejipanga kwasababu kaijua Simba na Al Ahly pia. Jambo pekee Simba wanalopaswa kubadilika ndani ya msimu huu ni either kutoruhusu magoli mengi ugenini ama nawao wakiwa nyumbani wawashindilie magoli mengi wapinzani wao
 
... Simba ingesajili beki wa Kati kijana na mwenye speed
Speed ya kwenda wapi, kufunga magoli? Wapo wing backs mtawapenda tu, Shomari na Duchu kulia, Tshabalala na Gadiel kushoto. Kama ni kasi ya kushambulia hao wapo sana
 
Mbona unapiga ramli sasa, Haikutokea na lengo la simba ni kushinda mechi za nyumbani. Na lengo likatimia, So tatizo lako liko wapi? Kama una ushauli mzuri peleka kwa utopolo. Maana wanajipigia tu home and away.
 
Ujinga au uwezo? Nonsense. Hivi umaamini mpila ni kuongea tu like, tunataka tushinde mechi zote za nyumbani na inatokea? Simetimes jifunze tu ku apreciates kuwa simba wamepambana. You talk kama vile kucheza nyumbani ni tiketi ya kushinda hata ukikutana na al haly? Kawaulize utopolo kama ni rahisi hivyo mbona walikuwa wanatoboka nje ndani.
 
zile takwimu ni mechi za kufuzu ulidhani afcon kafunga goal sita?thubuutuuuu ,huyo jamaa tangu 2015 hadi 2020 mechi zote na klabu zotte ana magoal 22 kwa miaka 5
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚YIKPE HAS COME IN ANOTHER FACE
 
Wakili Msomi Morrison kawaambia Simba wasimjaribu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…