Upinzani acheni kumu-underrate Makonda, mnapotezwa , Jamaa anaitangaza CCM kwelikweli, hatangazi Mtu!

Upinzani acheni kumu-underrate Makonda, mnapotezwa , Jamaa anaitangaza CCM kwelikweli, hatangazi Mtu!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
 
Hana impact hiyo, au kwakuwa ni faraja yenu sukuma gang basi ndio unampamba? Cha ajabu anafanya hizo propaganda outdated, lakini ikifika uchaguzi anategemea wizi wa kura.
 
MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.
Mbona unaniangusha, nilidhani wewe ni Great Great Great Thinker!
It is like this: In countries like ours where the word Democracy does not exist in their dictionaries, and where The President is a King and a King does not do any wrong and the King's powers are unlimited, then the saying goes thus: POWER IS INVARIABLY PERSONAL, THERE IS NO GROUP POWER. ONLY THE KING DICTATES EVERYTHING. SAMIA IS A "KING" AND THEREFORE DICTATES EVERYTHING!
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.


Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.


MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Anaitangaza kwa lipi. Ni nani hajui uozo wa Chama Chakavu. Kwa taarifa yako aliteuliwa kwa ajili ya kupunguza nguvu ya SUKUMA GANG maana makao makuu yako pale Kolomije na yeye ndio anajua vizuri chochoro zote
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.

Mtu mwenye akili unawezaje kutangaza chama Cha mafisadi?. Anajitangaza tu na kujipa Urais wa kuwafokea mawaziri.
 
Mtoa mada yupo sahihi 💯
Opposition msijidanganye
Atafanya damage kubwa tu so msishinde kutwa kujisemesha hana impact ukweli ni anayo sana tu..
Mrudi mpite kule anapita mpindue meza hapo mtafanikiwa

Upinzani wametumia strategy nzuri. Wamuache azurure na kuropoka mpaka achoke. Wapo wapi akina Shaka na Sophia Mjema nao walizunguka.
 
Tatizo la upinzani ni kwenda na beats za chama tawala. Yaani ccm wanaset beat upinzani wanaenda nazo, we do have a long way kuondoa hili jinamizi.
 
Mtoa mada yupo sahihi 💯
Opposition msijidanganye
Atafanya damage kubwa tu so msishinde kutwa kujisemesha hana impact ukweli ni anayo sana tu..
Mrudi mpite kule anapita mpindue meza hapo mtafanikiwa

..impact yake itakuwa positive kama maagizo anayoyatoa yatatekelezwa.

..mimi naona utaratibu anaoutumia ulipaswa kuwa Waziri mkuu au Naibu Waziri ili aweze kuwaagiza mawaziri kama wanavyofanya sasa hivi.

..jambo lingine ni kwamba matatizo na kero zilizosababishwa na Ccm sio mambo ya kurekebishwa kwa kuteuliwa mtu mmoja / Bashite.

..Kwa maneno mengine Bashite sio muarubaini wa matatizo yaliyosababishwa na Ccm kwa miongo mingi ktk nchi yetu.

..Sidhani kama Bashite anaweza kutatua tatizo la ajira za vijana, huduma mbovu za afya kwa wakina Mama, usumbufu ktk upatikanaji wa pembejeo, elimu mbovu, maslahi duni ya watumishi wa umma, etc etc

..Kwa maoni yangu wapinzani wakijipanga vizuri kuna uwezekano yakafanyika mabadiliko mengine ya nafasi ya Mwenezi wa Ccm.
 
Tatizo la upinzani ni kwenda na beats za chama tawala. Yaani ccm wanaset beat upinzani wanaenda nazo, we do have a long way kuondoa hili jinamizi.

..ccm nao wanafuata bit za upinzani.

..huoni Bashite anazungumzia " hedikopta " ya Mzee Mbowe badala ya kutafuta Suluhu ya matatizo ya umeme, ukosefu wa ajira, tozo na kodi zisizolipika?

..Samia badala ya kujenga uchumi, kitu alichoahidi alipoingia madarakani, kavamia midundo ya wapinzani kuhusu katiba na tume ya uchaguzi.🤣
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Lini na wapi wapinzani wamepambana na Makonda? Yeye anafanya yake na wapinzani wanafanya yao
 
Mtoa mada yupo sahihi [emoji817]
Opposition msijidanganye
Atafanya damage kubwa tu so msishinde kutwa kujisemesha hana impact ukweli ni anayo sana tu..
Mrudi mpite kule anapita mpindue meza hapo mtafanikiwa
Subiri wapigwe local election watakuja hapa jukwaani kulialia kuwa wameibiwa kura.Wanaaacha kujipanga kwa hoja wanabaki kumjadili Makonda,shida ya CHADEMA wanataka kuwageuza maadui wao kuwa maadui wa watu wengine pia.


Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Hiyo CCM ilichafuka na nini hata aisafishe?
Huo uchafu CCM iliupata wapi hadi Makonda kupewa kazi ya kusafisha?
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Usiwatishe watu na usintishe ntu🤣.Kwani hivi sasa anatumia mbinu gani?Ni tofauti na za enzi ile au ni mbinu zile 🤣
 
Upinzani wametumia strategy nzuri. Wamuache azurure na kuropoka mpaka achoke. Wapo wapi akina Shaka na Sophia Mjema nao walizunguka.
Ivi kwanini siku izi waenezi wa Chama chetu CCM Wanasauti kuliko hata katibu mkuu. Nakumbuka ile clip Makonda anamzingua chongolo eti usinizoee. Leo mbwa kala mbwa
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Uzuri wa makonda hana upendeleo, ukileta za kushotokushoto anakulipua tu hata kama ni mwana CCM mwenzie 😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Niliwaambia Samia kacheza kete kubwa.

Kakonda na Gwaji Boy wanaweza teka kura zooote za Kanda ya Ziwa zikaingia Kwa Samia ni vile Gwaji Boy ana kiburi.

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1723014373323452642?t=h8ppVKM3xuFa1hX_L13I6Q&s=19
 
Kasi ya Mh Makonda ni Hypersonic , Huyu mtu ana Sayansi ya Siasa, endeleeni kumchafua na kumuona wa Kawaida !!.

Anachofanya Makonda ni kuisafisha CCM kupitia Majukwaa, Maelekezo anayotoa mbele ya Majukwaa ni vitu ambavyo Watanzania hususan Wanyonge wanavyotaka Kusikia .

Makonda Hasafishi mtu , Kazi aloletewa ni kuisafisha CCM irudi kuaminika baada ya kupoteza mvuto.

MAKONDA hajawekwa hapo na SAMIA ,
BITEKO , hajawekwa hapo na SAMIA .
ndio maana kazi ya Makonda ni Kukitangaza CHAMA, Hatangazi mtu !!.



Endeleeni kupambana na Makonda na kumuita Kila majina ya ovyo.

Wala CCM hamna mpasuko kama ambavyo mnaaminishwa.

Uteuzi wa MAKONDA , ni utezi wa Taifa, sio CCM .

Shauri yenu !!.
Makonda hana Jipya endelea na UCHAWA wako

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
..ccm nao wanafuata bit za upinzani.

..huoni Bashite anazungumzia " hedikopta " ya Mzee Mbowe badala ya kutafuta Suluhu ya matatizo ya umeme, ukosefu wa ajira, tozo na kodi zisizolipika?

..Samia badala ya kujenga uchumi, kitu alichoahidi alipoingia madarakani, kavamia midundo ya wapinzani kuhusu katiba na tume ya uchaguzi.[emoji1787]
Hedikopta[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom