Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!

Ukitaka kujua hilo nenda kwenye coment za raia uone wanasemaje kuhusu Lisu, hasa kwenye page za BBC, VoA na DW.
Kiufupi Lisu hana mtaji wa watu nje ya chama chake.

Achana na haya mazombie yanayopiga kelele humu JF!
It's true mkuu me mwenyewe shahidi nimetembelea ukurasa wa BBC Instagram, raia hawamtaki Lissu hata kidogo.
 
2015 waliiba kura hawakuchaguliwa
Sasa unataka nini?
 
Huku wengi ni ushabiki usio na mashiko!

Nenda kwenye page za ITV, EATV, BBC, VOA, DW nk kisha leta maoni ya watu kuhusu Lisu uone!

Kule ndio watu wapo huru na ni raia wa kawaida sana wako huku mitaani...
Watu wako huru wa wapwa tuinuane? Mtajua hamjui mwaka huu.

Unasema pages ambazo ukitoa mawazo huru polisi wanakutafuta na kukuchukua maelezo? Ukitoa mawazo huru vijana wa uvccm wanakuja kukuteka?

Unadhani haijulikani huko CCM mlitoa maelekezo vijana wenu washambulie kwenye pages na account zinazowapinga?

Unadhani tumesahau clip za Gwajima akiongea kilugha kuhamasisha a watu kuunda vikundi kushambilia mitandaoni?
Mmechelewa sana CCM. Mlipolalia ndo tulipoamkia. Tukutane October!!
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!...
Kwa taarifa yako, hakuna mtanzania anayempinga Magufuli atathubutu kukomenti kwenye page za Instagram au Facebook. Tabia ya kuwapoteza wakosoaji ndiyo watu wanahofia hata wanaamua kunyamaza.

Hapa JF tunampinga wazi wazi kwa sababu hatufahamiki.
 
Kwa taarifa yako, hakuna mtanzania anayempinga Magufuli atathubutu kukomenti kwenye page za Instagram au Facebook. Tabia ya kuwapoteza wakosoaji ndiyo watu wanahofia hata wanaamua kunyamaza.

Hapa JF tunampinga wazi wazi kwa sababu hatufahamiki.
Hakuna kitu mkuu!

Kama unatumia matusi kama alivyokuwa anafanya Mdude itabidi upigwe spana.
 
Watu wako huru wa wapwa tuinuane? Mtajua hamjui mwaka huu.

Unasema pages ambazo ukitoa mawazo huru polisi wanakutafuta na kukuchukua maelezo?
Wapwa Tuinuane campaign wanamashambulizi kuuahadaa Umma kuwa Cdm haipendwi
 
Wapwa Tuinuane campaign wanamashambulizi kuuahadaa Umma kuwa Cdm haipendwi
Watajua kuwa hawajui mwaka huu!! Wamejazana kwenye pages za. BC, VOA, ITV na Azam huko. Sie huku tunawaangalia na kucheka kwa dharau tu!! 😀😀😀
 
Watu wako huru wa wapwa tuinuane? Mtajua hamjui mwaka huu.

Unasema pages ambazo ukitoa mawazo huru polisi wanakutafuta na kukuchukua maelezo? Ukitoa mawazo huru vijana wa uvccm wanakuja kukuteka?..
Unaongea kihisia zaidi! Hakuna uthibitisbo wa hicho unachodai!

[emoji3][emoji3][emoji3]Mkubali tu lisu hana mtaji wa watu,

Yani hao ccm iwajaze vijana kwenye hizo page alafu wengine waliofollow hizo page tangu miaka ya 2010 wamekufa ama?

Nyie endeleeni kudanganyana na hizi id zenu hazifiki 50 humu jf.
 
Unaongea kihisia zaidi! Hakuna uthibitisbo wa hicho unachodai!

[emoji3][emoji3][emoji3]Mkubali tu lisu hana mtaji wa watu,

Yani hao ccm iwajaze vijana kwenye hizo page alafu wengine waliofollow hizo page tangu miaka ya 2010 wamekufa ama?

Nyie endeleeni kudanganyana na hizi id zenu hazifiki 50 humu jf.
Kwa iyo clip za Gwajima za wapwa tuinuane ni hisia????
 
Eti mbeba maono. My foot!
Endelea kutokuamini hvyo hvyo ..hata kurudi kwake hamkuamini
IMG-20200811-WA0250.jpg
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa.

CHADEMA mna cha kujifunza uchaguzi wa Mwaka 2015 ila ni dhahiri mmeonekana kuyasahau mafunzo hayo hadi sasa Mnamuona Lissu ndiye mshindi na Kuangali miji aliyotembelea na Kupima kura zake kwa Umati.

Uzi tayari, Tukutane Oktoba 28 kila mtu ashinde mechi zake.

From Tallying Centre
View attachment 1534443View attachment 1534443
Hata ccm wanaamini ktk kujaza umati. Ndo maana wanatumia wasanii kwa wingi ili umati waje kuangalia wasanii maana mgombea wao kashapoteza mvuto
 
Ona ACT ni ya juzi tu lakini imewapiga bao kule Zanzibar,

Nyie mmekomaa mkubalike uchagani pekee!..
Sisi lengo letu ni kuing'oa ccm mzee. ACT wazalendo na chadema kitu kimoja.
 
Mkuu, hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu!

Nmeona raia wengi sana wanamshangaa Lisu!...
Anapondwa kinyama huko youtube, facebook, ni jf na twitter ndio anatamba
 
Back
Top Bottom