Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Uchaguzi 2020 Upinzani bado wana mentality ya kujaza umati ndiyo kukubalika

Endelea kutokuamini hvyo hvyo ..hata kurudi kwake hamkuamini View attachment 1534611
Mkuu hata Slaa alikuwa anakusanya watu kama hao! Au wewe umeanz siasa jana?

Hao watu hata Msigwa akienda pale Iringa anakusanya kama hao! Sugu na Lema ndio usiseme!

Sasa hebu niambie hao watu ni % ngapi ya wapiga kura katika mji mzima aliokuwa?

Hicho ni chama cha siasa, hutegemei kikose watu kwenye mikutano yake, lakini je kina sera na mtaji wa wapiga kura wa kutosha kuwezesha kupata ushindi?

Lisu sera hana, na sio kwamba chadema hakina sera, zipo ila mgombea wenu amemjaza Magufuli kichwani mwake ndio sababu kila akipata nafasi ya kuongea lazima amshambulie Magufuli!

Watu wanataka sera, waone Lisu kabeba kitu gani kichwani kwake tofauti na ccm?

Juzi katoa boko kule NTV ya kenya kuhusu corona huku yeye huko anakozunguka anakiuka masharti yote ya kujikinga na huu ugonjwa! Nadhani uliona reaction ya watu kuhusu lile boko alilotoa.
 
Mkuu hata Slaa alikuwa anakusanya watu kama hao! Au wewe umeanz siasa jana?

Hao watu hata Msigwa akienda pale Iringa anakusanya kama hao! Sugu na Lema ndio usiseme!...
Usibishane na ukweli ..ccm ilishajifia
 
Anapondwa kinyama huko youtube, facebook, ni jf na twitter ndio anatamba
Na youtube na facebook ndio kuna raia mkuu kule twiter wamejazana kina fatume karume na maria sarungi.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mbona Magu aliuliza wanaume wako wapi Kilosa..maana walijaa watoto wa shule za msingi
 
Asilimia kubwa ya watanzania tunapenda kushanga shangaa na matukio ya misimu na maneno ya umbea hasa kwa watu ambao wanathubutu kuelezea mapungufu ya wengine hata kama si kweli.
 
Wasalaam,

The same Scenario ya 2015 nimeshangaa sana inajirudia kwa kasi Watu wako wanajadili namna ya wagombea wakipokelewa mikoani kwa umati mkubwa...
Najua unajifanya kutengeneza propaganda. Huku umesahau wale wanao lazimisha watumish kusign mahudhurio kwenye mikutano ya kisiasa, kuwabeba wananchi kwenye malori
 
Siku hizi hatuoni zile swaga kwamba CDM imekufa [emoji16][emoji16][emoji16]!Sijui nini kimewapata hahahaaa! Katika toka 2015 hakuna kipindi ambacho nimekuwa na furaha kama kipindi hiki!Mpaka kampeni ziishe nitakuwa nimenenepa!
Mimi kwa hizi wiki mbili nishaanza kupata kitambi kabisa baada ya ujio wa mh Lissu.

Cha pili ni kuona ma lumumba yanavyo papalika kama kuku aliye katwa shingo
 
Yaani ya safar hii ni funga kz kuliko ya 2015 ...wataongea sana lkn wanajuta kukatAza mikutano
Daima Mungu huwa anatoa malipo hapa hapa duniani, hivyo haya yanayo tokea ni kwa ajili ya kuwachapa ma lumumba kwa mateso wanayo tupatia sisi watanzania.
 
Kuishinda ccm labda uipambanishe na ANC hapo ndiyo kutakuwa na mtifuano wa kufa mtu.Lakini hawa wapinzani wa bongo wanaoangalia mafuriko mhhhhhhhhh
Kubishana na wana ccm buku 7 inabidi ujitoe akili kwanza
 
Unafurahia ujinga mkuu! Kama ule wa 2015.
Mizuka na mihemuko ndio inakufanga ufurahi,

Subiri oktoba utaumia vibaya sana
Wewe hasa ndiye utaumia maana baada ya cdm kuingia madarakani nyinyi vibaraka wa lumumba itabidi mrudi kwenu Burundi
 
Subiri oktoba! Watz wanataka maendeleo,!

Kama wewe unataka mahesabu nenda kasomee uhasibu utaajiriwa kufanya hayo
Eti maendereeeooo, wakati watu wanalala na njaaa
 
Back
Top Bottom