Upinzani hauuliwi kwa mabavu, udikteta, vitisho na ukatili, ukitaka kuua upinzani mpe Hussein Mwinyi nchi aufute upinzani

Upinzani hauuliwi kwa mabavu, udikteta, vitisho na ukatili, ukitaka kuua upinzani mpe Hussein Mwinyi nchi aufute upinzani

Naamini Bujibuji hamaanishi au hapigii upatu kufa kwa upinzani bali alitaka kuonesha kama Rais wetu hamu yake ni kuona upinzani unakufa basi "aue" upinzani kwa kuwawajibikia wananchi hadi wananchi waone au angalau waamini "CCM inatosha" na sio kutumia mabavu na hila dhidi ya upinzani!!

..asante kwa ufafanuzi wako mzuri.

.. Bujibuji samahani sikukuelewa vizuri ktk hoja yako.

..pamoja na hayo mimi siamini ktk kufuta / " kuua " upinzani kwa namna au mazingira yoyote yale.

..naamini ushindani ni mzuri ktk nyanja zote za maisha, iwe michezo, biashara, siasa, elimu, etc etc.
 
..asante kwa ufafanuzi wako mzuri.

..@Bujibuji samahani sikukuelewa vizuri ktk hoja yako....
Na ni mtu wa ajabu tu ndie anaweza kutamani kuona upinzani unakufa lakini rais wetu furaha yake ni kuona upinzani unakufa! Yeye anachotaka serikali ikiamua jambo basi lipite bila upinzani wowote, na nadhani anatamani hata kufutulia mbali vyama visivyo vya kiserikali vyenye mlengo wa kuelimisha wananchi kufahamu haki na wajibu wao!
 
Dr Mwinyi ni Raia wa nchi ya Zanzibar,itakuwa vipi iwapo na Sisi raia wa Tanganyika tukatawala Zanzibar.

Hii mambo ya kutawaliwa na raia wa kigeni nalipinga kwa nguvu zote.
 
Upinzani ni spirit ambayo kamwe haijawahi kuuawa kwa kuwateka wapinzani, kuwatesa, kuwafunga kwa makosa ya kubambikiza etc.

Njia rahisi ya kuua upinzani ni kupitia upendo na kuwaridhisha watu licha ya kwamba hakiwezekani kuwaridhisha watu wote kwa wakati, lakini hili linawezekana akipatikana rais mwenye akili kama Hussein Mwinyi....
Sitashangaa siku Mwinyi akipitishwa kugombea urais Tanzania miaka ijayo, ninyi ninyi ndio mtakaokuja na hoja za kumpinga na kuonesha hafai! Wajinga sana ninyi nyumbu!
 
Sitashangaa siku Mwinyi akipitishwa kugombea urais Tanzania miaka ijayo, ninyi ninyi ndio mtakaokuja na hoja za kumpinga na kuonesha hafai! Wajinga sana ninyi nyumbu!
Tatizo mifumo yamkiccm ni kishetani sana,malaika kuwa ibilisi ni jambo la haraka sana akipita ccm!
 
Tza anaestahili kuabudiwa ni mmoja tu msianze kumchongoea ya Robert Ouko yakamfika.
Mawe ni hatari Sana kwa ujenzi wa nyumba bora
Mkuu nimekuelewa sana. Uko sahihi. Mungu apitishe mbali.
 
Kuna misamiati kibao Madege sasa Mandege cha kuchekesha sasa mmehamia kumsifu Mwinyi laiti kama mngejua kwamba Mwinyi ni mtu aina gani.....
 
Upinzani Tanzania umejifia kutokana na:

1. Elimu bure msingi mpaka sekondari
2. Umeme kila kijiji
3. Vituo vya afya kila kijiji
4. Miradi ya maji kila mahali
5. Kukomesha wizi na ufisadi
6. Vita dhidi ya rushwa
7. Nidhamu utumishi wa umma
8. Wanyonge kwanza
9. Kufufua huduma za reli
10. Ujenzi wa meli maziwa makuu
11. Kudhibiti utoroshaji madini
12. Kufufua shirika la ndege
13. Ujenzi wa reli
14. Ujenzi bwawa la kufua umeme
15. Kutokomeza korona
16. Kuingia uchumi wa kati
17. Maendeleo bila kujali chama
18. Upinzani kwenda chama tawala ruksa
19. Muda wa kazi, Muda wa siasa
20. Kufanyia kazi hoja za upinzani
21. Kudhibiti ujangili na ujambazi
22. Endelea na wewe......
23.
24.
25.
Wewe ndiyo maana uliokotwa jalalani

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwani Tundu Lissu atagombea tena!! Kwa mawazo yangu aache tu kwani itakuwa anapoteza wakati. Watanzania tayati wamemjua na kimdharau. Hakuna ubishi kuwa Lissu ni kibalaka wa mabeberu.

Akipata uraisi ataishi Tanzania lkn akikosa uraisi anawakimbia watanzania. Tena kwa visingizio vya kijinga vya kuichafua nchi. Eti na Lema anatishiwa kuuawa. Bora mzee wa Faru John hana makuu na nchi yake
Akae hapa ili mumpige bomu maana kwa risasi mlishindwa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Umerudi now, watu huoo!

Zama za jiwe za giza😁😁
Ahahahahahahahaha umenikumbusha nasoma mwanza shule mojawapo ya boarding wavulana tu; ukikatika people zinavua nguo zote.. Ukirudi ghafla aisee kama mko enzi za akina Jaja of Opobo.

Saivi Jiji lina joto la kutisha afu umeme nziiii...ukirudi sasa...utaskia uooooooooooo..umenichekesha sana bro.
 
Upinzani ni spirit ambayo kamwe haijawahi kuuawa kwa kuwateka wapinzani, kuwatesa, kuwafunga kwa makosa ya kubambikiza etc.

Njia rahisi ya kuua upinzani ni kupitia upendo na kuwaridhisha watu licha ya kwamba hakiwezekani kuwaridhisha watu wote kwa wakati, lakini hili linawezekana akipatikana rais mwenye akili kama Hussein Mwinyi.

Tayari Mwinyi ameshagundua kuwa kodi kubwa kwa wawekezaji ni mzigo, ambao in future, wote tutakuwa losers, muwekezaji atashindwa kufanya biashara, atafunga. Serikali itapate kodi mfanyabiashara akifunga biashara? Mwananchi atapataje bidhaa na huduma supply chain ikikatika?

Pia tunahitaji watu wenye mitaji waje kuwekeza nchini. Nani yuko tayari kuona diaspora wakileta mitaji yao bila kuulizwa umepataje pesa.

Nachelea kusema kwamba Mwinyi Yuko much visionary kuliko kaka Mandege.

Mwinyi alipita nyumba kwa nyumba akiongea na Wanzibari ana kwa ana wakimjulisha shida na dhiki zao.

Huyu mwingine alikuwa ananunua majogoo kwa laki moja, akipita kwenye msururu wa MAVIEIEITE YA KIJANI. Akimwaga tu sera zake kutoka kwenye kauntabuku la kurasa mia tatu na tatu bila kuwasikiliza wananchi wanataka nini.

Mwaka 2025 nadhani mtu sahihi wa kumshindanisha na Tundu Lissu ni Hussein Mwinyi tu.
Hako ka Zanzibar unalinganisha na Tanganyika ? Pole sana. Ukiona unaota ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi.
 
Kuondoa watumishi wenye vyeti fake
Upinzani Tanzania umejifia kutokana na:

1. Elimu bure msingi mpaka sekondari
2. Umeme kila kijiji
3. Vituo vya afya kila kijiji
4. Miradi ya maji kila mahali
5. Kukomesha wizi na ufisadi
6. Vita dhidi ya rushwa
7. Nidhamu utumishi wa umma
8. Wanyonge kwanza
9. Kufufua huduma za reli
10. Ujenzi wa meli maziwa makuu
11. Kudhibiti utoroshaji madini
12. Kufufua shirika la ndege
13. Ujenzi wa reli
14. Ujenzi bwawa la kufua umeme
15. Kutokomeza korona
16. Kuingia uchumi wa kati
17. Maendeleo bila kujali chama
18. Upinzani kwenda chama tawala ruksa
19. Muda wa kazi, Muda wa siasa
20. Kufanyia kazi hoja za upinzani
21. Kudhibiti ujangili na ujambazi
22. Endelea na wewe......
23.
24.
25.
 
Ninyi si ndio mlisema kwamba Mwinyi amepelekwa huko Zanzibar kugombea kama kibaraka wa Tanganyika ? Leo amekuwa shujaa ? Wapinzani wenye mawazo kama haya eti uwape nchi. Mtaishia kutawala JF lakini siyo Taifa.
Aiseee kaka kama ni kweli. Basi prrsonality ya hussein mwinyi na mhe baba jesca.. ni watu tofauti kabisa.

Mmoja anabeba sura halisi za watanzania. Mwingine anapenda kuabudiwa.
 
Back
Top Bottom