Upinzani huu, Tanzania bado tuna safari ndefu sana

Upinzani huu, Tanzania bado tuna safari ndefu sana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo.

Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi anawaambia wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni kwamba ana uwezo wa kumpigia rais muda wowote akitaka.

Hoja kuu za Chadema sasa ni kumponda Magufuli, kusifia rais, kusifia majadiliano, kumponda Magufuli tena, kumsifia rais tena, yaani hoja zao ni hizo hizo.

Jarida la the Chanzo lilifanya summary ya mada zinazozungumzwa kwenye mikutano ya Chadema toka wameanza mikutano kama picha inavyoonyesha.

 
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo.

Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi anawaambia wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni kwamba ana uwezo wa kumpigia rais muda wowote akitaka.

Hoja kuu za Chadema sasa ni kumponda Magufuli, kusifia rais, kusifia majadiliano, kumponda Magufuli tena, kumsifia rais tena, yaani hoja zao ni hizo hizo.

Jarida la the Chanzo lilifanya summary ya mada zinazozungumzwa kwenye mikutano ya Chadema toka wameanza mikutano kama picha inavyoonyesha.

Hata hawaelewi wanapigania nini ?

USSR
 
Kwani ugomvi ? Jamani upinzani unatakiwa uwe directly involved kweny ishu za siasa kama kushauri na kukosoa.

Wao plus the rulling party wanatakiwa kuwa na uhusiano wa karibu ili kukosoana na kushauriana kwa hoja ...unataka siasa za vita kila siku
 
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo.

Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi anawaambia wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni kwamba ana uwezo wa kumpigia rais muda wowote akitaka.

Hoja kuu za Chadema sasa ni kumponda Magufuli, kusifia rais, kusifia majadiliano, kumponda Magufuli tena, kumsifia rais tena, yaani hoja zao ni hizo hizo.

Jarida la the Chanzo lilifanya summary ya mada zinazozungumzwa kwenye mikutano ya Chadema toka wameanza mikutano kama picha inavyoonyesha.

Wewe umeleta upinzani gani wa maana kwa faida ya nchi ?!
 
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo.

Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi anawaambia wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni kwamba ana uwezo wa kumpigia rais muda wowote akitaka.

Hoja kuu za Chadema sasa ni kumponda Magufuli, kusifia rais, kusifia majadiliano, kumponda Magufuli tena, kumsifia rais tena, yaani hoja zao ni hizo hizo.

Jarida la the Chanzo lilifanya summary ya mada zinazozungumzwa kwenye mikutano ya Chadema toka wameanza mikutano kama picha inavyoonyesha.


Magufuli lazima asagiwe kunguni sana kwa kuwa alikuwa alikuwa anaharibu nchi mazima kama siyo Mungu kuingilia kati.
 
Kwa wapinzani hawa tulio nao ambao wanashangilia na kufurahia kuweza kumpigia rais simu muda wowote kama vile ni jambo la maana sana basi Tanzania kazi bado ipo.

Leo Sugu ama Joseph Mbilinyi anawaambia wanachi waliojitokeza kwenye mkutano wa kampeni kwamba ana uwezo wa kumpigia rais muda wowote akitaka.

Hoja kuu za Chadema sasa ni kumponda Magufuli, kusifia rais, kusifia majadiliano, kumponda Magufuli tena, kumsifia rais tena, yaani hoja zao ni hizo hizo.

Jarida la the Chanzo lilifanya summary ya mada zinazozungumzwa kwenye mikutano ya Chadema toka wameanza mikutano kama picha inavyoonyesha.


Inaelekea haujui kazi ya rais, rais ni kiongozi wa serikali kwa ajili ya wananchi wote bila kujali chama. Huyi rais asiyetaka Sugu ampigie kura siyo rais wa wanaccm tu, Tanzania hatuna rais wa wapinzani na haitawezekana.
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
 
Wewe chawa wa DPP, una akili timamu? Watu wanapigana bandari isiuzwe, unataka Sera gani hapo, ...Sera ni kutetea rasilimali za Taifa.
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
Stupid blood bastard
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
Nani mwenye jukumu la kuwa mpinzani? Au nani mwenye jukumu la kuunda upinzani?

Pasinge kuwepo mpinzani hata mmoja, nani angekuwa wa kulaumiwa?

Wanao laumu upinzani Kuna kitu hawakioni au hawakijui.
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
Sasa unataka upinzani wasubir nan kafanya nn ili wakosoe? Je wasubir baba levo, zembwela, muhogo mchungu au?
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
PAKA wa Lumumba at Work.

Hapa siyo mahali Pake. Komaeni na wa vijijini. Labda huko bado kuna hope kidogo.
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
Unajua kazi ya vyama vya upinzani? au unaropoka tu?
 
Wapinzani wa Tanzania hawanaga mipango yoyote Bali uanaharakati tu.

Yaani hawanaga sera Wala mipango yoyote wao wanasubili rais kafanyaje ndo wapate Cha kuandakia mikutano na kukisemea. Ikitokea rais akakaa kimya na wao wanakata kimya. Ccm inawaburuza mno Hawa wapinzani ambao wahwaeleweki kabisa.
Sisi wananchi tumeshindwa kuwaelewa. Leo hii lisu au lema akipewa chochote anahama chadema baada ya mda anarudi tena chadema. Naskia slaa naye anataka arudi. Kwa mtindo huu nani awape nchi?

Hamna msimamo Bali njaa tu ndo zimewafanya muongie kwenye siasa. Hivi tuseme chadema atunawapa nchi, nani anaweza kuajirika ndani ya chadema tofauti angalau lisu ambaye kasomasoma sheria angalu. Mbowe Hana proffesion yoyote, lema Hana proffesion yoyote,mdude yeye ni kuropa tu kila linalomjia kichwani. Nahisi yule atakuwa anatumia bangi kwanza kabla ya kupost.

Bora jpm alivyowafungia mikutano Yao mana hawana wanaloongea la maana zaidi ya kushambuliana tu
True
 
Back
Top Bottom