NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Sema Chadema wajitoe,usiusishe wapinzani wote.kwa sababu Chadema wabinafsi,CDM hukashifu wapinzani wote kuwa ni mapandikizi ya CCM.
mkiitaji jambo la kuwapa nguvu mnahusisha wapinzani wote mpate saport ila mkipanga baraza lenu la mawaziri kivuli humu jf wenzenu amuwaweki.
mkiitaji jambo la kuwapa nguvu mnahusisha wapinzani wote mpate saport ila mkipanga baraza lenu la mawaziri kivuli humu jf wenzenu amuwaweki.