Tetesi: Upinzani kusambaratika tena 2020

Tetesi: Upinzani kusambaratika tena 2020

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !!

Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete ya mwisho kumaliza upinzani 2020 !!

Kijana huyo atafanya vile vile alivyofanya Dr slaa 2015 na kuacha mtikisiko mkubwa ndani ya upinzani!!

Kijana huyu machachari mbunge wa muhura wa pili kwenye jimbo sasa hivi yupo karibu sana na wananchi wake anafanya maendeleo!!

Kama ilivyokuwa Kwa Dr slaa alifanya makubwa katika jimbo la karatu na huyu sasa hivi ndivyo anavyofanya kwenye jimbo lake!!

Taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema mbunge huyo kijana yeye hataondoka nchini bali atakachokifanya ni kusubiri uwaziri baada ya uchaguzi mwaka 2020!!

Atafatana na watu wengine ingawa wao hawatakuwa na mvuto kama alivyo yeye !!

Usajiri bado unaendelea mazungumzo miaka 4 mwaka wa tano usajiri unakamilika.

Sitamtaja .........

Stay tuned..........
 
Nijuavyo mimi kwa Chuki waliyoijenga CCM kwa upinzani kwabana kufanya siasa, hawawezi kumpata mtu 2020! Wameshakwama kwa Lipumba labda wajaribu na ACT lakini sio UKAWA.
 
Hivi Lumumba wanalipa hata kama story aina mashiko?
Nimeona 7000 mara mwizi ni kama 210,000...
Maana naona watu wana andika uji sasa ni bure au kuna buku 7..nataka kujiunga
 
Mnyika unaweza kuota, hawezi kuondoka upinzani kwani unafki hana. Kulikua na tetesi kua ni NASSARI Lakini muda utasema.
...
.....kwa upepo huu 2020 ...meli yetu itajaa sana abiria Mkuu
 
CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !!

Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete ya mwisho kumaliza upinzani 2020 !!

Kijana huyo atafanya vile vile alivyofanya Dr slaa 2015 na kuacha mtikisiko mkubwa ndani ya upinzani!!

Kijana huyu machachari mbunge wa muhura wa pili kwenye jimbo sasa hivi yupo karibu sana na wananchi wake anafanya maendeleo!!

Kama ilivyokuwa Kwa Dr slaa alifanya makubwa katika jimbo la karatu na huyu sasa hivi ndivyo anavyofanya kwenye jimbo lake!!

Taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema mbunge huyo kijana yeye hataondoka nchini bali atakachokifanya ni kusubiri uwaziri baada ya uchaguzi mwaka 2020!!

Atafatana na watu wengine ingawa wao hawatakuwa na mvuto kama alivyo yeye !!

Sitamtaja .........

Stay tuned..........
Jibu ninayo mimi hapa
 
Kwa nini usisubiri tu itokee na siyo kuleta tetesi hapa.
 
CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !!

Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete ya mwisho kumaliza upinzani 2020 !!

Kijana huyo atafanya vile vile alivyofanya Dr slaa 2015 na kuacha mtikisiko mkubwa ndani ya upinzani!!

Kijana huyu machachari mbunge wa muhura wa pili kwenye jimbo sasa hivi yupo karibu sana na wananchi wake anafanya maendeleo!!

Kama ilivyokuwa Kwa Dr slaa alifanya makubwa katika jimbo la karatu na huyu sasa hivi ndivyo anavyofanya kwenye jimbo lake!!

Taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema mbunge huyo kijana yeye hataondoka nchini bali atakachokifanya ni kusubiri uwaziri baada ya uchaguzi mwaka 2020!!

Atafatana na watu wengine ingawa wao hawatakuwa na mvuto kama alivyo yeye !!

Sitamtaja .........

Stay tuned..........
hivi kwa akili yako ndogo kati ya CCM na ukawa nani wapo imara yule jamaa uchwara kawakata pumzi CCM mpaka wenyewe ndani kwa ndani wanashindwa kupumua.
 
Back
Top Bottom