Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti! Kisa? Hamuungi mkono Lowassa.JJ mnyika?
Umesema wewe sio Mimi!!
hivi kwa akili yako ndogo kati ya CCM na ukawa nani wapo imara yule jamaa uchwara kawakata pumzi CCM mpaka wenyewe ndani kwa ndani wanashindwa kupumua.
Intelligence yetu inajua kila kitu, sisi CHADEMA ni zaidi ya ist Kwa hiyo msihofu upinzani hautakufa.CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !!
Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete ya mwisho kumaliza upinzani 2020 !!
Kijana huyo atafanya vile vile alivyofanya Dr slaa 2015 na kuacha mtikisiko mkubwa ndani ya upinzani!!
Kijana huyu machachari mbunge wa muhura wa pili kwenye jimbo sasa hivi yupo karibu sana na wananchi wake anafanya maendeleo!!
Kama ilivyokuwa Kwa Dr slaa alifanya makubwa katika jimbo la karatu na huyu sasa hivi ndivyo anavyofanya kwenye jimbo lake!!
Taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema mbunge huyo kijana yeye hataondoka nchini bali atakachokifanya ni kusubiri uwaziri baada ya uchaguzi mwaka 2020!!
Atafatana na watu wengine ingawa wao hawatakuwa na mvuto kama alivyo yeye !!
Usajiri bado unaendelea mazungumzo miaka 4 mwaka wa tano usajiri unakamilika.
Sitamtaja .........
Stay tuned..........
naona umejitekenya na kucheka mwenyewe.Haaaaah hayo umeyasema wewe
yaani vyama vi4 vimepigwa knock out na magu. eti wakampokea mamvi, waliuziwa yai viza mchana mchanaUnajua walijipiga dole wapi?, pale walipomtosa zitto na Dr.slaa wakajiona tayari ikulu ya magogoni ni yao haaaaaaaaa haaaaaa teteeteehhh uwiiiii wakajapiga mwano...uuuwiiiTUMEIBIWA!!! HAHAHAAAA😀😀😀.eti mita 200 hatutoki..hahaha tunalinda kura.wakaambiwa pigeni kura nendeni nyumbani mimi lowassa nazijua mbinu heheheeee.. machozi ya furaha yananitoka..qwiqwi.
Tehtehteh wengine walindaa matafrija ya ushindi qwi ...qwi😀 YAANI VIGELEGELE!!!waliuziwa yai viza mchana mchana
Chungeni mayai viza tehteh...😀Hadithi yako inatufundisha nini?
UlichoelewaHadithi yako inatufundisha nini?
jumlisha ya jana mkuu kuwa watumishi wengi wa umma ni vichaaMbona mlisema utasambaratika baada ya uchaguzi?nimeamini kila watanzania 4 mmoja in kichaa