Tetesi: Upinzani kusambaratika tena 2020

Tetesi: Upinzani kusambaratika tena 2020

Miaka mitano Mingi mno,ht huyo mnaemuhisi inaweza ikafika iyo 2020,,maybe akawa mbele ya haki au akaacha siasa,, au chochote kinaweza tokea maana ya Mungu mengi,,
 
M4C yako wapi, mbwembwe zoote,mmeisoma, CCM kwa watanzania ni kama fenesi,kwa nje halina mvuto, utamu wa ndani, wabongo ndio waujuawo,pepooz wamepondwa na fenesi.hahahahaaaaaaaaaah 😀😀😀😀😀😀😀😀mautamu tuu.
teh teh teh teh. 2020 ukawa ni ndoto.
 
Hakuna aijuaye kesho,hata mtunzi wa kalenda
 
karata yangu naitupa kwa Engineer yule aliempiku kwenye uchaguzi mzee wetu aliepewa wafungwa na magereza..

jemusi m.
sorry, typing error
 
Mnyika unaweza kuota, hawezi kuondoka upinzani kwani unafki hana. Kulikua na tetesi kua ni NASSARI Lakini muda utasema.
Nassari kwa kweli hana sifa za kuwa chadema hii, ni mchapa kazi na hayupo kwenye vita na wengine kama walivyo bavicha wengine, jamaa ni jembe bila chenga nasema hivyo.
Mnyika nae akibaki chadema huo ndo unafiki.
 
teh teh teh teh. 2020 ukawa ni ndoto.
Unajua walijipiga dole wapi?, pale walipomtosa zitto na Dr.slaa wakajiona tayari ikulu ya magogoni ni yao haaaaaaaaa haaaaaa teteeteehhh uwiiiii wakajapiga mwano...uuuwiiiTUMEIBIWA!!! HAHAHAAAA😀😀😀.eti mita 200 hatutoki..hahaha tunalinda kura.wakaambiwa pigeni kura nendeni nyumbani mimi lowassa nazijua mbinu heheheeee.. machozi ya furaha yananitoka..qwiqwi.
 
dah upinzani bhana...joshua nassari anatimiza wajibu wake kama mbunge...eti mnamtilia mashaka....yaani mnataka na yye awe mropokaji kazi zero kama wapinzani wengine.......kama nyie wenyewe mnaanza kuwekeana zengwe badala ya kumuomba awapige shule wabunge wengine wafanye kazi kama yye....hapo ndo naona umuhimu wa kauli ya mh lowassa shule...shule...shule......nassari anaonyesha usomi wake mwacheni apige kazi
 
hivi kwa akili yako ndogo kati ya CCM na ukawa nani wapo imara yule jamaa uchwara kawakata pumzi CCM mpaka wenyewe ndani kwa ndani wanashindwa kupumua.
Kwanza yule kijana wa mipango bwana February naona kama hayupo, Sasa sijui nani atafanya hiyo mikakati
 
Mlisema ukawa utakufa Mara baada ya uchaguzi mashavu yamewashuka aibu
 
Nijuavyo mimi kwa Chuki waliyoijenga CCM kwa upinzani kwabana kufanya siasa, hawawezi kumpata mtu 2020! Wameshakwama kwa Lipumba labda wajaribu na ACT lakini sio UKAWA.
hueleweki mara Nassary mara ACT....Kijana kivuli na laana ya ubaguzi haitawaacha hadi mtafunane wenye kwa wenyewe.
 
CCM ni watata Sana kwenye mikakati kweli baada ya Program ya Lipumba kurudishwa CUF kushindwa sasa wamebadili gia angani !!

Kuna kijana mmoja mtiifu ndani ya vyama vya upinzani ndiye atakuwa kete ya mwisho kumaliza upinzani 2020 !!

Kijana huyo atafanya vile vile alivyofanya Dr slaa 2015 na kuacha mtikisiko mkubwa ndani ya upinzani!!

Kijana huyu machachari mbunge wa muhura wa pili kwenye jimbo sasa hivi yupo karibu sana na wananchi wake anafanya maendeleo!!

Kama ilivyokuwa Kwa Dr slaa alifanya makubwa katika jimbo la karatu na huyu sasa hivi ndivyo anavyofanya kwenye jimbo lake!!

Taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema mbunge huyo kijana yeye hataondoka nchini bali atakachokifanya ni kusubiri uwaziri baada ya uchaguzi mwaka 2020!!

Atafatana na watu wengine ingawa wao hawatakuwa na mvuto kama alivyo yeye !!

Usajiri bado unaendelea mazungumzo miaka 4 mwaka wa tano usajiri unakamilika.

Sitamtaja .........

Stay tuned..........
Acha mbwembwe za kijinga. Lea familia yako vizuri ili kesho wasiwe wambea na wanafiki kama wewe. Tunahitaji taifa lenye muono wa kimageuzi kipindi hiki na si unafiki na uzandiki. Kabla hujaandika kitu jaribu kwanza kujitafakari, je, watu watakuelewaje, watàkutafsrije, na unajiweka nafasi gani kijamii. Come on man, acha mambo ya kijinga kila wakati usio wa kijinga!!!!!!!!!!!¡;;;;;;;;;;¡¡¡¡¡, inakera sana.
 
...
.....kwa upepo huu 2020 ...meli yetu itajaa sana abiria Mkuu
Hata mi naona mwisho wa ccm ni mwaka 2015-2019 ! Maana hata wale wa vijijini wameshachoka na hiki chama ! wakipiga simu toka bush kuomba msaada huwa tunawaambie mtakula mlipopeleka mboga hela zote mnazo nyie huko ndo mlichagua hiki chama cha majambazi ! Wanajuta sana ndo too late !!
 
Acha mbwembwe za kijinga. Lea familia yako vizuri ili kesho wasiwe wambea na wanafiki kama wewe. Tunahitaji taifa lenye muono wa kimageuzi kipindi hiki na si unafiki na uzandiki. Kabla hujaandika kitu jaribu kwanza kujitafakari, je, watu watakuelewaje, watàkutafsrije, na unajiweka nafasi gani kijamii. Come on man, acha mambo ya kijinga kila wakati usio wa kijinga!!!!!!!!!!!¡;;;;;;;;;;¡¡¡¡¡, inakera sana.
You're unorganized
 
Dah....kinachotafuna upinzani ni choyo, tamaa na ubinafsi.. FULL STOP [emoji4]
 
Back
Top Bottom