Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
J Nassari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja tuMmmmmh bado mapema mno kumtaja ila siku itasema
Haaaah[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hakuna mtu mwenye ushawishi ambae ni mbunge na kijana, hakuna so far alievunja rekodi ya mvuto kwa wabunge vijana wa upinzani kama aloiweka zitto, kwa hiyo mleta uzi rudi kaandike tena🙁
Kama wakina Nani magwiji ao taja 10Stori za kwenye kahawa, CCM hawahitaji mtu kutoka chadema ili kuwasambaratisha!Tunahitaji upinzani imara unaojengwa kwa misingi ya hoja na kuwajibika!Nasari na Mnyika ni mfano wa wapinzani safi!Itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu wakiondoka na kujiunga na CCM kulikojaa magwiji wa siasa na hoja!
CCM huwezi kutaja 10 wako wengi sana hata kama hupendi huo ndio ukweli wenyeweKama wakina Nani magwiji ao taja 10
Najua fika mleta mada unanizungumzia mimi Lakini Sihami Ng'o....!!!Haaaah[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Haaah hao wa ndio wale wanaosimama bungeni na kupewa dakika 10 3 anashukuru familia yake,3 kumsifia magufuli,4 kuwaponda wapinzani na kumsifia sipika !!!CCM huwezi kutaja 10 wako wengi sana hata kama hupendi huo ndio ukweli wenyewe
Teh teh [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Najua fika mleta mada unanizungumzia mimi Lakini Sihami Ng'o....!!!
Yes tuanzishe chamaNilishasema na ninarudia tena,kama upinzani ukifa hapa nchini mim nitaanzisha chama changu.
kuwa mwanaccm labda nikiwa maiti
Wacha tuoneccm ndio itaanza kusambaratika