kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,144
- 1,668
Ukisha kuwa na fikra mbadala nchini mwetu basi utachukiwa sana na wakalia kiti cha enzi na vibaraka wao.
Utafanyiwa fitina, manyanyaso, dhihaka na ubaya wa kila aina ndiyo maana kila mtawala wa CCM akingia madalakani chakwanza huanza ku-dill na Wapinzani.
Ona sasa Hoja ya KATIBA MPYA iliyo ibuliwa na kutetewa na Wapinzani inavyo pigwa rungu, CCM hawataki kabisa habari hii maana wana amini itawatoa kwenye himaya.
Lakini umuhimu wa katiba mpya wanaujua vyema Ila wanapotosha watu ,na vibaraka wao wana fwatiliza na kupiga mbiu hiyo hiyo kwa masilahi yao binafsi ya watu wasio zidi hata Mia moja nchi yenye watu zaidi ya milioni sitini (60 million).
Sasa tuna ona na ACT nao wame wasaliti Wapinzani na wananchi wenzao na kukomaa na tume huru ya uchaguzi kwamba eti ndio kipao mbele ili hali katiba inayo weza kusimamia tume ya uchaguzi na taasisi zote nchini waki iweka nyuma.
Tuseme ACT lao moja na CCM Ila imejificha kwenye gamba Kama Kobe?
#Kamjabari
Utafanyiwa fitina, manyanyaso, dhihaka na ubaya wa kila aina ndiyo maana kila mtawala wa CCM akingia madalakani chakwanza huanza ku-dill na Wapinzani.
Ona sasa Hoja ya KATIBA MPYA iliyo ibuliwa na kutetewa na Wapinzani inavyo pigwa rungu, CCM hawataki kabisa habari hii maana wana amini itawatoa kwenye himaya.
Lakini umuhimu wa katiba mpya wanaujua vyema Ila wanapotosha watu ,na vibaraka wao wana fwatiliza na kupiga mbiu hiyo hiyo kwa masilahi yao binafsi ya watu wasio zidi hata Mia moja nchi yenye watu zaidi ya milioni sitini (60 million).
Sasa tuna ona na ACT nao wame wasaliti Wapinzani na wananchi wenzao na kukomaa na tume huru ya uchaguzi kwamba eti ndio kipao mbele ili hali katiba inayo weza kusimamia tume ya uchaguzi na taasisi zote nchini waki iweka nyuma.
Tuseme ACT lao moja na CCM Ila imejificha kwenye gamba Kama Kobe?
#Kamjabari