permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ila mawazo yao ndio yaliyofanyiwa kazi na serikali, sasa wale ambao kazi yao ni kupiga makofi ndio tuseme wanasaidia nini?Upinzani inabidi wasome alama za nyakati tu kwa sasa, hapa Tanzania hatuna upinzani wa ukweli ni kelele tu zisizo na tija. Mtu anakwenda bungeni kupiga kelele na kuleta bifu ili aandikwe mitandaoni lakini hana msaada wowote jimboni kwake, mfano Halima Mdee, Sugu, Zitto Kabwe, Lissu, na wapuuzi wengine. Tunataka upinzani wa ukweli hapa Tanzania.
Hata wao wenyewe huko waliko roho zinawauma kwa kinachoendelea sema ndo hawana namna tu. Kikubwa sisi watuache tu tuyaone wenyewe, miaka mitano mbona michache tuIla mawazo yao ndio yaliyofanyiwa kazi na serikali, sasa wale ambao kazi yao ni kupiga makofi ndio tuseme wanasaidia nini?
upinzani Wa ukweli unaujua au unalopoka.Upinzani inabidi wasome alama za nyakati tu kwa sasa, hapa Tanzania hatuna upinzani wa ukweli ni kelele tu zisizo na tija. Mtu anakwenda bungeni kupiga kelele na kuleta bifu ili aandikwe mitandaoni lakini hana msaada wowote jimboni kwake, mfano Halima Mdee, Sugu, Zitto Kabwe, Lissu, na wapuuzi wengine. Tunataka upinzani wa ukweli hapa Tanzania.
Ushauri sahihi!Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.
Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.
Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.
Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!
Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?
Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.
Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.
Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.
Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!
Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.
Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.
Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!
Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!
Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!
Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo atakayeandamana kwa ajili ya ugali wa wenzie nani ?? Kila mtu ashinde mechi zake watafute kazi wafanye
Ndo maana tunasema Sasa basi tumewaelewa. Tunakaa kimya kupokea maendeleo aliyoahidi magufuli kuwa Kama upinzani utaondoka, Tanzania itakuwa Kama ulaya. Tunasubiri hiyo neema. Tumeondoka muwe huru kutekekeza ilani bila kuhojiwa na mtu.Si mlisema "sasa basi" ?? Iweje tena leo muogope maandamano?
Usijali ndugu, muda mfupi ujao wote tutapiga kelele na kuimba chorus moja. Hongera umekuwa mchangiaji mzuri sana humu JF.Mmepiga kura wenyewe kwa kuwachagua mliowachagua na mwisho wa siku wameshinda lakini bado mnapiga kelele nyie wenyewe
Umeandika utopolo mwingiUsijali ndugu, muda mfupi ujao wote tutapiga kelele na kuimba chorus moja. Hongera umekuwa mchangiaji mzuri sana humu JF.
Huwa tunachangia mada tu na kwa bahati mbaya wengi wetu hatujuani humu. Unaweza kumjibu mtu humu ambaye km mkionana live au kuonyeshwa kwamba huyu ni yule mwenye jina fulani JF ulikuwa unamjibu, unaweza kujiona mpumbavu na kujilaumu sana kwa sababu ya mambo yafuatayo:
1. Umri wake.
2. Ufahamu wake
3. Aina ya kazi anayofanya. Maana
kazi nyingine humuathiri
muhusika kisaikolojia.
Wakati mwingine tusameheane bure.
Tusiukubali ujinga uliotokea. Kama raia tutimize wajibu wetu kuhakikisha Taifa letu linaongozwa kwa haki.
Sasa uwe mwanzo wa harakati kubwa za kuukataa udikteta. Tusikome jitihada mbalimbali mpaka siku Taifa letu litakaporudi kwenye misingi ya haki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mengine zaidi ya hayo, heading inajieleza vizuri.
Ni kweli mtakosa mapato, lakini mnaweza kujibidisha na kupata shughuli nyingine hata ikiwezekana kilimo.
Tuachieni hii miaka mitano ili tujionee wenyewe.
Msihangaike kwenda mahakamani maana huko mtapoteza fedha na muda wenu bure.
Msihangaike kuhamasisha maandamano maana police wakifyatua risasi na raia wakafa, mtalaumiwa bure!
Tuachieni miaka hii mitano tujihakikishie Kama kweli maana ya upinzani ipo kwenye vyama vya siasa au mioyoni mwa watu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndio chanzo cha kukosekana kwa huduma za jamii huku kwetu?
Kaeni pembeni tuone Kama kweli nyie ndo mlikuwa sababu ya umasikini wa Watanzania wengi?
Kaeni pembeni ili wananchi waanze kufurahia maziwa na asali walivyovikosa miaka yote hiyo.
Nasema kaeni pembeni kwasababu mmejaribu kutusemea ila tumeshindwa kuwaelewa.
Haina haja ya Mmarekani na wa yuropa kuanza kutusemea! Waambieni nao watuache, tuna jambo letu miaka mitano hii.
Tena waambieni wawe wa kwanza kumpa kongole muheshimiwa kwa ushindi wake wa kishindo na madiwani na wabunge wote! Wasimseme wasije kumconfusi!
Kwa kweli mkijikalia pembeni mkaanza kufanya shughuli nyingine nje ya siasa kuanzia Leo mtakuwa mmetusaidia sana sisi wanyonge kuondoka kwenye unyonge wetu.
Mtakuwa mmetusaidia sana maana mishahara itapanda, huduma za jamii zitabireshwa, ajira zitapatikana, shule zitaboreshwa, uhuru na haki vitatamalaki na Mambo kede kede.
Msiandamane wala kulalamika lalamika ili msimconfyuzi mshindi akaanza kuloose focus na kugombana na nyie!
Muacheni na mtuache na sisi tuyaone wenyewe!
Ni hayo tu! Tanzania ni yetu watanzania, UN, USA na wengine hawawezi kutuonea huruma tusipoanza sisi kujionea huruma na hata wakituonea huruma watakuwa na jambo lao nyuma ya pazia!
Waambieni watuache tuyaone wenyewe!
Hujanielewa Ciril.Mtu kuanza kufanya jambo jipya wakati mwingine anaangalia kwanza anayelifanya jambo hilo anapata madhara gani.Akiona haathiriki kwa namna au nyingine na yeye anapata moyo zaidi wa kulifanya jambo hilo bila wasiwasi wowote.
Ingieni barabarani tuone kwanzaHii hoja murua kabisa. Wapinzani na wale wanaoitwa mababeru hebu watupishe kwanza tujionee wenyewe miaka hii mitano. Watuache kama shubiri tuionje na kama ni asali tuifurahie kwa raha zetu. Kwa kweli hebu tuachieni tuisome hii namba kwanza kwa raha zetu.
Ni ngumu kumeza Ila lazima wazoeeeeTamko la nini?
Maisha baada ya uchaguzi yameshaanza...
Ni kweli kuna vya kuiga.Mengine maafaSawa Mkuu nime kuelewa japo sio kila mfano ni wa kuigwa.
Hamna shida, tumefurahi tu na kwa wale wenye hasira ya kushindwa ninawaomba wajiue tu wapunguze idadi ya wajinga hapa nchini kwetu.Sasa mmebaki wenyewe wenye msaada, shida iko wapi?
Kwa rais huyu muona mbali si rahis mjinga atokee ndani ya chama yeye amwache anamchekea tu. Huyo mjinga atatemwa na kuachwa chini kama kina Nnape na January Makamba. Magufuli jiwe jamani, hachezewi huyu malaika wetu.sasa watavurugana wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama chao,mitandao ya kusaka urais inaanza soon mwenyekiti hatakuwa na nguvu kuyadhibiti makundi ndani ya chama chake,daima upinzani upo upo tu hata ndani ya chama chake.
Hakuna alichokifanya kuua upinzani,kafanikiwa kudhibiti miamba ya upinzani isiwepo bungeni wataibuka wa chama chake humo humo ndani huku yeye akijiandaa kumaliza muhula wake wa pili