Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.