Upinzani nchini hautafanikiwa mpaka Mbowe na Zitto waachane na siasa

Upinzani nchini hautafanikiwa mpaka Mbowe na Zitto waachane na siasa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.

Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.

Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.

Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.

image_search_1615012732447.jpg
 
Siyo mpaka Magufuli atoke madarakani? Maana binafsi namuona yeye ni mtu hatari zaidi kwa ustawi wa upinzani nchini kuliko huyo Zitto na Mbowe. 😇
Acha kujifanya hujui
 
Viongozi wengi wa vyama vya Upinzani wanavishikilia vyama hivyo kama mali zao binafsi maana wameshainvest resources zao nyingi sana kama pesa taslimu, muda, magari, nyumba (ofisi), vipigo vya polisi, kutupwa selo etc etc.

Investment zao huenda hazijalipa sana na hawapo tayari kumuachia mtu mwingine ambaye hajawekeza chochote cha maana. Hata wale zinaowalipa hawapo tayari kuiachia hiyo neema kwa mtu mwingine.

Hii sio kwa Mbowe tu na hii inawahusu wote akina Cheyo, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Zitto Kabwe, Lipumba etc.
 
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao..
Mkuu wa kukuelewa ni wachache Sana!

Siasa za hawa jamaa ni kuwafanya wenye akili kuwa wajinga, misukule na manyumbu,

Ikiwa mpaka leo lufaa ya kina dada wale haijasikilizwa Wala kutolewa uwamuzi tena ipo kisheria, unaona kabisa watu welevu kufanywa wajinga na mijitu mijinga mijinga kama hiyo
 
CCM tangu TANU hadi uhuru bado mnaendelea kuwafanya watu waendelee kuwa masikini kwa kuwaita wanyonge...

Gharama za msafara wa viongozi wa CCM ni anasa huko vijijini watu wanakunywa maji kisima kimoja na mifugo yao.

CCM imefanikiwa kutengeneza hofu ya kuhoji ukweli na haki za Raia wastaafu wako taabani mafao hayaeleweki lini yanatoka huku CCM wakilipana zaidi ya millioni 10 kwa mwezi kama mshahara.

CCM imefanikiwa kivuruga zilizotarajiwa kuwa chaguzi za kidemkorasia na kuzifanya kuwa upotevu wa rasilimali fedha kupitia wizi wa kura na kuzima mitandao.

CCM imefanikiwa kuishi na kujisifu chini ya katiba inayowapa kinga watu kufanya lolote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa mahali popote....

Mwisho niseme upinzani hauwezi kufa upinzani huanzia kwenye fikra ndio huja moyoni...pole MATAGA ATTACH=full]1718425[/ATTACH] ]
 
Acha kujifanya hujui
Hivi nikiuliza hili swali hapa jukwaani kwa mtindo huu;

Wanao sababisha upinzani Nchini Tanzania usifanikiwe awamu hii ya tano ni;
a)Zitto Kabwe na Freeman Mbowe
b)Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Rais aliyeko madarakani, ccm, polisi, Katiba ya mwaka 1977, Wakurugenzi wa Halmashauri.
c)Wananchi, Mabeberu!

Utachagua jibu gani hapo?
 
Mkuu wa kukuelewa ni wachache Sana!

Siasa za hawa jamaa ni kuwafanya wenye akili kuwa wajinga, misukule na manyumbu,

Ikiwa mpaka leo lufaa ya kina dada wale haijasikilizwa Wala kutolewa uwamuzi tena ipo kisheria, unaona kabisa watu welevu kufanywa wajinga na mijitu mijinga mijinga kama hiyo
Umenena sawa kabisa.
 
Hivi nikiuliza hili swali hapa jukwaani kwa mtindo huu;

Wanao sababisha upinzani Nchini Tanzania usifanikiwe awamu hii ya tano ni;
a)Zitto Kabwe na Freeman Mbowe
b)Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Rais aliyeko madarakani, ccm, polisi, Katiba ya Nwaja 1977, Wakurugenzi wa Halmashauri.
c)Wananchi, Mabeberu!

Utachagua jibu gani hapo?
Jibu ni a
 
Kweli mkuu huu upinzani siyo mpinzani alikuwa Dr Silaa.

Huu upinzani unaifanya ccm itambe usiku na mchana, wapinzani wanaonunulika kwa vipande vya shekeli.
 
Waacheni hao manguli wa siasa za upinzani Tanzania,ni watu makini sana kwa manufaa ya taifa.
 
Viongozi wengi wa vyama vya Upinzani wanavishikilia vyama hivyo kama mali zao binafsi maana wameshainvest resources zao nyingi sana kama pesa taslimu, muda, magari, nyumba (ofisi), vipigo vya polisi, kutupwa selo etc etc.

Investment zao huenda hazijalipa sana na hawapo tayari kumuachia mtu mwingine ambaye hajawekeza chochote cha maana. Hata wale zinaowalipa hawapo tayari kuiachia hiyo neema kwa mtu mwingine.

Hii sio kwa Mbowe tu na hii inawahusu wote akina Cheyo, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Zitto Kabwe, Lipumba etc.
Hii sio sababu ya kuwa kikwazo.
 
CCM tangu TANU hadi uhuru bado mnaendelea kuwafanya watu waendelee kuwa masikini kwa kuwaita wanyonge...

Gharama za msafara wa viongozi wa CCM ni anasa huko vijijini watu wanakunywa maji kisima kimoja na mifugo yao.

CCM imefanikiwa kutengeneza hofu ya kuhoji ukweli na haki za Raia wastaafu wako taabani mafao hayaeleweki lini yanatoka huku CCM wakilipana zaidi ya millioni 10 kwa mwezi kama mshahara.

CCM imefanikiwa kivuruga zilizotarajiwa kuwa chaguzi za kidemkorasia na kuzifanya kuwa upotevu wa rasilimali fedha kupitia wizi wa kura na kuzima mitandao.

CCM imefanikiwa kuishi na kujisifu chini ya katiba inayowapa kinga watu kufanya lolote bila kuhojiwa wala kuwajibishwa mahali popote....

Mwisho niseme upinzani hauwezi kufa upinzani huanzia kwenye fikra ndio huja moyoni...pole MATAGA ATTACH=full]1718425[/ATTACH] ]
Upo nje ya mada.
 
Back
Top Bottom