Upinzani nchini hautafanikiwa mpaka Mbowe na Zitto waachane na siasa

Upinzani nchini hautafanikiwa mpaka Mbowe na Zitto waachane na siasa

Upo nje ya mada.
Huoni aibu MATAGA umasikini mmeuleta nyie ijapokuwa mmeshika dola tangu mkoloni aliporudi kwao hadi leo?
images%20(24).jpg
 
Kijana Mimi nilikiwa naambulia buku kadhaa za kuja kujiaibisha humu

Sasa ni wakati wa kuweka maslahi ya Umma kwanza
Maslahi ya umma ni pamoja na kuondoa upinzani njaa
 
Mkuu wa kukuelewa ni wachache Sana!

Siasa za hawa jamaa ni kuwafanya wenye akili kuwa wajinga, misukule na manyumbu,

Ikiwa mpaka leo lufaa ya kina dada wale haijasikilizwa Wala kutolewa uwamuzi tena ipo kisheria, unaona kabisa watu welevu kufanywa wajinga na mijitu mijinga mijinga kama hiyo
Nilishanga Mnyika anakimbilia kufanya press conference bila kugusia Covid 19 kwa kifupi hatuna viongozi wa upinzani wanaoweza kutuvusha kutoka hapa tulipo
 
Siyo mpaka Magufuli atoke madarakani? Maana binafsi namuona yeye ni mtu hatari zaidi kwa ustawi wa upinzani nchini kuliko huyo Zitto na Mbowe. 😇
Magufuli madalakani kutoka sio leo maana ni raisi mkombozi wa taifa na Africa kwa ujumlaa.
 
Siasa ni kuwafanya watu wenye akili kuwa wajinga!!

Hao jamaa ndivyo wlivuo
Ni kama tunavyoambiwa hakuna corona tunapiga makofi. Baadaye tunaambiwa corona ipo kwenye barakoa, tunapiga tena makofi
 
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.

Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.

Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.

Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.

View attachment 1718411

Hujui siasa ww dogo, upinzani ni imani, kwa maneno marahisi upinzani ni zaidi ya vyama vya upinzani. Wanachofanya vyama vya upinzani ni kupata uungwaji mkono kwetu sisi tulio na mitazamo mbadala. Ndio maana umeona tuko na rais mwenye kiburi cha madaraka, lakini kwakuwa anatumia madaraka yake vibaya kuhujumu upinzani, yeye na chama chake wamejikuta hawana mvuto zaidi ya kutegemea vyombo vya dola kunajisi uchaguzi.
 
Kafanye research upya, hlfu njoo na finding za kutosha.

labda nikusaidie finding moja, mtu hatari zaidi kwa ajili ya USTAWI wa upinzani ni mtu mmoja anaitwa JOHN POMBE MAGUFULI, huyu anatakiwa afundishwe maana ya mfumo wa vyama vingi.
 
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.

Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.

Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.

Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.

View attachment 1718411
Hujaweza ku link matendo yao yanaathiri vipi ustawi wa siasa huku wao wamekosa ubunge na chama si mtu ni taasisi ktk utendaji

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.

Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.

Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.

Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.

View attachment 1718411
Mupuuzi wewe
 
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.

Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.

Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.

Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.

View attachment 1718411
Ccm bila kutumia vyombo vya ulinzi kuiba kura ni ndoto kushinda uchaguzi zozote zile
 
Back
Top Bottom