imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kijana Mimi nilikiwa naambulia buku kadhaa za kuja kujiaibisha humuWewe ndio unadanganywa.
Sasa ni wakati wa kuweka maslahi ya Umma kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana Mimi nilikiwa naambulia buku kadhaa za kuja kujiaibisha humuWewe ndio unadanganywa.
Huoni aibu MATAGA umasikini mmeuleta nyie ijapokuwa mmeshika dola tangu mkoloni aliporudi kwao hadi leo?Upo nje ya mada.
Jikite kwenye mada.Huoni aibu MATAGA umasikini mmeuleta nyie ijapokuwa mmeshika dola tangu mkoloni aliporudi kwao hadi leo?View attachment 1718460
Nilishanga Mnyika anakimbilia kufanya press conference bila kugusia Covid 19 kwa kifupi hatuna viongozi wa upinzani wanaoweza kutuvusha kutoka hapa tulipoMkuu wa kukuelewa ni wachache Sana!
Siasa za hawa jamaa ni kuwafanya wenye akili kuwa wajinga, misukule na manyumbu,
Ikiwa mpaka leo lufaa ya kina dada wale haijasikilizwa Wala kutolewa uwamuzi tena ipo kisheria, unaona kabisa watu welevu kufanywa wajinga na mijitu mijinga mijinga kama hiyo
Kijana punguza njaaMaslahi ya umma ni pamoja na kuondoa upinzani njaa
Magufuli madalakani kutoka sio leo maana ni raisi mkombozi wa taifa na Africa kwa ujumlaa.Siyo mpaka Magufuli atoke madarakani? Maana binafsi namuona yeye ni mtu hatari zaidi kwa ustawi wa upinzani nchini kuliko huyo Zitto na Mbowe. 😇
Ni kama tunavyoambiwa hakuna corona tunapiga makofi. Baadaye tunaambiwa corona ipo kwenye barakoa, tunapiga tena makofiSiasa ni kuwafanya watu wenye akili kuwa wajinga!!
Hao jamaa ndivyo wlivuo
Kama hii sio sababu unadhani kwanini Cheyo, Lipumba na Augustino Mrema bado ni wenyeviti wa Vyama tangu mwaka 1994Hii sio sababu ya kuwa kikwazo.
Hawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.
View attachment 1718411
Hujaweza ku link matendo yao yanaathiri vipi ustawi wa siasa huku wao wamekosa ubunge na chama si mtu ni taasisi ktk utendajiHawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.
View attachment 1718411
Ndio tz nzima iko hivi wajibu Kwanza hiliHuoni aibu MATAGA umasikini mmeuleta nyie ijapokuwa mmeshika dola tangu mkoloni aliporudi kwao hadi leo?View attachment 1718460
Leo ss unalipwa na ccm? Au hata km huna chama umelipwa kitu angalia uwanja uko levo?Kijana Mimi nilikiwa naambulia buku kadhaa za kuja kujiaibisha humu
Sasa ni wakati wa kuweka maslahi ya Umma kwanza
Sema wanaojimilikisha kila kitu kwa imani kuwa ni waerevu kuliko wote,hao sio vinginevyo tupe mada uitakayo tujadili.Maslahi ya umma ni pamoja na kuondoa upinzani njaa
Mupuuzi weweHawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.
View attachment 1718411
Hivi chakula cha kushibisha ubongo kwa haraka zaidi ni kipi kwani njaa ya ubongo ni hatari zaidi ya ile ya tumbo.Kijana punguza njaa
Ccm bila kutumia vyombo vya ulinzi kuiba kura ni ndoto kushinda uchaguzi zozote zileHawa wanasiasa wawili ni wanafiki sana. Wao siasa ni biasahara na kujaza matumbo yao.
Na kwa sababu wao ndio wameshika mipini ya vyama vya Siasa vya Upinzani ni wazi kuwa wao ndio sababu ya kukwamisha siasa za upinzani hapa nchini.
Ni watu ambao wapo kwa ajili ya kutumia siasa kujaza matumbo yao. Kuhadaa wananchi, wakipata sapoti ya wananchi wanawatumia kupata kiki na pesa.
Hawa ndio kikwazo cha siasa za upinzani nchini.
View attachment 1718411