Upinzani Tanzania msirudie kosa walilofanya wenzenu wa Namibia

Upinzani Tanzania msirudie kosa walilofanya wenzenu wa Namibia

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
 
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
Huko kuna raia mazezeta?
 
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
Na Rais mtarajiwa ni Mwanamama kama alivyo Samia.
 
SWAPO ni moja ya vyama vikongwe barani Africa kimelea uhuru Naminia 1990 lakini unaona tayari kinakwenda hapa Bongo CCM ipo tangu 1955 lakini bado tunakichekea chekea.

Nadhani Kuna wimbi la mabadiliko linakuja, SA tuliona, Botswana, Msumbiji na Sasa Namibia. Nadhani kwa Tanzania CCM imejikita kwenye vyombo vya Dola kiasi kwamba ni vigumu kukiondoa.
 
SWAPO ni moja ya vyama vikongwe barani Africa kimelea uhuru Naminia 1990 lakini unaona tayari kinakwenda hapa Bongo CCM ipo tangu 1955 lakini bado tunakichekea chekea.
Watanzania ni misukule inayotembea
Hata ukiwachapa kisha badae ukwapa t-shirt na kuwawekea nyimbo za diamond na Simba na yanga watakubali tu
 
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
Ulichokiandika wala hakiakisi ukweli wa siasa za vyama vingi hapa nchini.
Kama hujui tu, fahamu haya;

1. Huenda 90% ya vyama vya upinzani vilivyopo hapa Tanzania kwa sasa ni matawi ya CCM. Vinaimba na kucheza kila mdundo unaopigwa na CCM. Chama makini cha upinzani kinawezaje kuweka muungano na vyama vingine vya upinzani vya style hiyo?

2. Huenda 90% ya vyama vya upinzani vilivyopo sasa hapa Tanzania haviko hai. Hazina wanachama, viongozi, ofisi, harakati, agenda wala ushawishi. Ni uchafu tu.
 
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
Kiukweli kabisa chama kikipata ushindi chini ya 50% inatakiwa kuwe na runoff election.

Uchaguzi uende ngwe ya pili. Vyama viwili au vitatu vilivyopata kura nyingi vichuane tena mpaka kimoja kipate zaidi ya 50%, hiyo ndiyo iwe mandate.

La sivyo, chama kinachoongoza kwa kura chini ya 50% kiunde serikali ya mseto kwa kushirikiana na vyama vingine, kwa kutafuta mandate ya kupata zaidi ya 50% ya kura.
 
Raia wetu nao ni changamoto, wanaojifanya ya kwamba siasa haiwahusu wao ni Mpira na muziki basi.
Ila hizi lawama zenu huwa sizielewi, nani kasema hao wanaoshabikia mpira na muziki hawafuatilii ama kijihusisha na siasa?
 
Siku ukienda kwenye vituo vya kupigia kura na ukawaona watu wanaojitokeza kupiga kura ni watu wa namna gani utachoka mpaka mkia.

Vijana ambao ndio wenye fikra za kimapinduzi wapo nyuma ya keyboard wanapress battons tu, kwenye kupiga kura hawaonekani.
 
Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani vina kura Asilimia 52 ila vimegawana baina yao.

Hivyo basi, Kama vyama vya upinzani vitashiriki mwaka 2025, vianze kutengeneza umoja kwa Sasa ili visigawane kura, bila kuungana CCM itazidi kuwaonea na mwisho wa siku mtabaki kulalamika na hakuna atakayewasikiliza.
Hapa weka vizuri. Upinzani una asilimia 52? Sasa inakuaje SWAPO iongozee? Katiba ya Namibia mshindi apate zaidi ya asilimia 50. Sema kura za wapinzani mmoja mmoja zikiunganishwa zinafika asilimia 52. Yaani kama vile uokote zaa mzee wa Ubwabwa, CDM, ACT, CUF nk...🙏🙏🙏
 
Nadhani Kuna wimbi la mabadiliko linakuja, SA tuliona, Botswana, Msumbiji na Sasa Namibia. Nadhani kwa Tanzania CCM imejikita kwenye vyombo vya Dola kiasi kwamba ni vigumu kukiondoa.
Huko walikojikita ndo kubaya kwao. Ni bora waache demokrasia ifuate mkondo wake hata wakija kushindwa wataweza kurudi tena. Lakini Kwa sasa wakiondoka hawarudi tena
 
Back
Top Bottom