econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
- Thread starter
- #41
Tatzo hawa upinzan wa tz kama TLP kile cha mzee wa ubwabwa nk hamna vyama pale ni kupotezana maboya tu. Kingine tamaa na usaliti ndani kwa ndani kwa wapinzani wa hapa kwetu. Hawana mshikamano dhabiti. Mwisho kurubuniwa
Hizi nazo ni changamoto kubwa. Kurubiniwa na kusalitiana imekuwa Kama fashion kwa siasa za upinzani. Hii ukatisha moyo Sana wananchi wanaowaunga mkono.