Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Rejea


 
Succession planning is a process for identifying and developing new leaders who can replace old leaders when they leave, retire or die. Succession planning increases the availability of experienced and capable employees that are prepared to assume these roles as they become available. Taken narrowly, "replacement planning" for key roles is the heart of succession planning.

Maelezo yako yanafit hapo?
CCM haina mvuto tena kwa wananchi. Baadala yake wanatumia nguvu nyingi kuua upinzani. Lakin wananchi wanamtaka Mbowe kwa udi na uvumba hata kama angekuwa sultani mara saba. Huyo ndiye mwanaume anayefaa kuidhoofisha CCM.
 
Ikiwa vyama vya upinzani vina matatizo kama unavyotaka kutuaminisha, Jiwe anaogopa nini kuweka mazingira sawa ya kisiasa nchini? Kila siku ni kukamata, kutishia, kuteka, kupiga, kununua, kunyanyasa wapinzani wake......! Ajaribu kuruhusu mazingira sawa ya kisiasa aone!
Thubutu!!! Akifanya hivyo CCM itafutiliwa mbali overnight!
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Rejea


Hivi kwa akili yako unaamini kwamba huyu anayetuongoza sasa alikuwa kwenye succession plan ya chama chake? Hata kama kwenye kikao cha Dodoma walikuminya nanahiiii..... basi usijitoa ufahamu kiasi hicho. Usije ukasadifu maana ya jina lako la Mayala
 
Kama mazingira ndani ya chadema hayako sawa je hao wa nje ya chama watawapa mazingira sawa

Sumaye

Mwambe

Wameonyesha njia

Na wame adhibiwa tayari
Wameadhibiwaje? Kwani ukigombea sharti ushinde? Ukiona unagombea halafu unaweka akili kwamba lazima wanichague, wewe hufai na kuna kitu unakitafuta.
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la maswali yenye facts
  1. Jee kuna ubishi kuwa Upinzani Tanzania Unamatatizo?. Ni matatizo gani na usaidiweje?.
  2. Vyama vingi vya Upinzani Havina Succession Plan, kwanini vyama hivyo havina succession plan na sio tuu kwenye uongozi wa ndani, hata kwenye ubunge na udiwani, mfano tunaelekea uchaguzi wa 2020, Chadema ina wabunge wa majimbo ambao wengine wame deliver na wengine hawaja deliver, hivyo uchaguzi wa 2020, wengi wanakwenda kupigwa chini na CCM!. Kwanini hakuna succession plan ya ndani kuwapima kukubalika na kuwapiga chini kabla kwa kusimamisha more able candidates wanaokubalika zaidi?.
  3. Vingi ya Vyama vya Upinzani, Vina Uongozi wa Kisultani, na sio Chadema pekee, Mzee Cheyo wa UDP, Mrema wa TLP, Lipumba wa CUF, etc. Kwanini hakuna grooming mechanism to groom their future leaders?.
  4. Hivyo jee hata uongozi wa Mhe. Freeman Mbowe ndani ya Chadema, ni kama Usultani fulani?.
  5. Jee Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema hiyo 18 Dec, ni uchaguzi kweli au ni uchaguzi kiini macho tuu?, kama utakavyokuwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, tayari mshindi anajulikana!. Hivyo ni uchaguzi wa kukamilisha tuu taratibu kuonekane demokrasia amechukua mkondo wake? au ni uchaguzi kweli?.
  6. Kuna msemo, " no one is indispensable", no matter how good one is, huwa anafikia kiwango cha mwisho wa uwezo wake, ndio maana katiba unaweka ukomo wa uongozi, hata katiba ya Chadema ya 1992 ilikuwa na kipengele hicho, kwenye katiba ya 2006, kipengele hicho cha ukomo, kiliyeyuka, just vanish into thin air, bila kujadiliwa popote!. Jee kipengele hiki kiliyeyukaje?
  7. Waliokiweka kipengele hicho kwenye katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao, kwa vile ile katiba ya 2006 kipengele hicho hakikuondolewa, bali kilijiondokea tuu chenyewe, kuondoka huku kwa kipengele hicho kuna maana gani kwa Chadema?.
  8. Je ni kwa kutokuwepo kwa kipengele hicho, cha ukomo ndiko kunatoa fursa ya usultani kwenye uongozi wa vyama vya siasa yenye Usultani, Jee Chadema nacho ni chama cha kisultani?, kuna Usultani?.
  9. Mkimfanyia Mhe. Mbowe a quick assessment tangu alipoitoa Chadema alipoingia kwenye uongozi mpaka hapa alipoifikisha Chadema, jee hakuna kweli wana Chadema wenye kuona mbali ambao wanao ona trends za Mhe. Mbowe kuwa japo amekifanyia mengi, makubwa na mazuri Chadema, lakini pia amefikia kiwango chake cha mwisho wa uwezo wake kwa Chadema kuhitaji kupata fresh blood?.
  10. Swali la mwisho na la msingi sana ni, jee kuendelea kwa Mhe. Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema, kwenye era hii ya changing political dynamism ya siasa za Tanzania chini ya JPM na CCM imara, Mwendelezo huu wa Uenyekiti wa Mhe. Mbowe, Jee Utakinua Zaidi Chadema kuliko hapo kilipofika, Au Utakiangamiza na sasa Chadema kinaelekea Kwishney?.
NB. Hili ni bandiko la maswali, kama una majibu ya maswali haya karibu, ukiwa huna, nakushauri jipitie tuu kimya kimya, sio lazima kuchangia kila thread.
Natanguliza shukrani.

Nawatakia Chadema maandalizi mema uchaguzi na wengine wote Jumapili Njema.

Paskali
Rejea


mkuu hii mada ingelikuwa balanced kama pia ungezungumzia uwenyeviti katika vyama vngine kama TLP,CUF na NCCR mageuzi.Maana wengine watasema mbona wakati wa chaguzi za hivyo vyama maana ni wao ndio viongozi kwa vipindi hakukuwa na hiz kelele na mbona sasa.Infact bado tuna safari ndefu ya demokraisia hapa.
 
Succession planning is a process for identifying and developing new leaders who can replace old leaders when they leave, retire or die. Succession planning increases the availability of experienced and capable employees that are prepared to assume these roles as they become available. Taken narrowly, "replacement planning" for key roles is the heart of succession planning.

Maelezo yako yanafit hapo?
Kwanini yasifiti...kumbuka hao kina Chiligati na wenzake walisomeshwa uongozi pale kivukoni enzi za awamu ya kwanza.

Na wao wakayarithisha yale waliyofundishwa kwa kizazi kilichowafuata wao.

Pia fahamu kuwa hata hizi kozi kama ile kina Makonda na Dr Mkumbo waliyoifanya pale bahari beach miezi michache iliyopita ni sehemu ya succession plan.
 
Kwanz nikushukuru kwa uchambuzi mzuri.

Pili hili ni Jukwa huru, ukiweka bandiko, waachie watu wasome na waweke comments zao.

Japokuwa ninakubaliana na uchambuzi wako, na ulisemalo lipo kweli kabisa, uongozi wa vyama pinzani ni wakiSultani. Lakini umeharibu kukisifia chama chetu na kiongozi wetu, hapo hapakustahili hata kidogo.

Ushauri wangu kwako, I love reading your articles, would have loved you to be unbiased, nor to want to seek being seen unaelemea upande mmoja.
Safi
 
It is very difficult kuwa na succession plan kwenye hivi vyama vinavyoendeshwa kama mali binafsi. Baadhi yao vilianzishwa kama NGO na watu binafsi ambao wanaclaim wameinvest energy yao ya kutosha (fedha, muda, emotions, vipigo etc) na kwao kumuachia mtu mwingine achukue wakati hao “hawajavuna faida” inakuwa ngumu.

Cheyo, Lipumba, Mrema, Dovutwa, Rungwe, Mbowe

Ndio maana anapokuja mtu mgeni probably mwenye maono tofauti, ataitwa ‘pandikizi’ au ‘hana uchungu’ au ‘huyu hajui historia yetu’.
Binafsi naamini nature ya vyama vichanga inawanyima fursa ya wa kutengeneza succession plan.Hata TANU/CCM imewachukua miaka mingi kuingia katika kuachiana madaraka na angalia Mwenyekiti wa CCM haachii akiwa Mwenyekiti tu bali akiwa na cheo kingine cha Mkuu wa nchi.
Pia vyama hivi kwa kuwa bado ni vichanga na vinajengwa bado,ushawishi wa mtu mmoja mmoja kuna wakati una manufaa sana.
La tatu ni kuwa katika mazingira haya ya kukabwa kila pembe kubadilisha viongozi wa ngazi ya juu ni kukiua chama hata kabla hakijaanza kuruka.
 
Paschali,
Kwanza; Siku hizi nawe umegeuka wa kupongeza tu kana kwamba hakuna lisilo kwenda vizuri. Hakuna kitu kisicho na kasoro vinginevyo wewe au unao watetea ni malaika!

Pili, swali lako la pili la Vyama vingi vya Upinzani kutokuwa succession plan, yamkini ni sawa na Uongozi wa kila chama unatakiwa kulichukua hili kwa jicho lenye nia njema na kulifanyia kazi. Wewe na wengine mnapokosea ni kudhani kwamba Upinzani hauna la maana kwa Taifa. Hivi uliwahi kujiuliza kwamba kwa nini JpM anafanya hayo mzauri ya kimaendeleo na kukandamiza Demokrasia? Nchi isipokuwa na Upinzani au uongozi imara usitegemee Taifa kunufaika, mifano ni mingi kuanzia kwenye familia, kazini nk.

Tatu, jisifu, sifu kushinda kama unacheza kwa kiwango kizuri na mshindani wako anamini ameshindwa kwa sababu mshindani wake amemzidi katika taratibu walizojiwekea zinazo ongoza mchezo husika.
 
Kwenye ugombea Urais alianza Mtei akaja Mbowe akaja Slaa akaja Lowassa.

Je hiyo si succcession plan?
 
Mbowe na mashabiki wake mnaupotosha umma.
Enzi hizo hapakua na Harakati za kidemokrsia Bali kudai Uhuru wa mtu mweusi kujitawala mwenyewe.

Hata hivyo kwenye harakati hizo za kudai Uhuru hakunawenyekiti aliyekaa muda mrefu kwenye Chama.
Nyerere alikaa muda mrefu baada ya kupata Uhuru sio labla.
Kabla ya Uhuru watu walikua wanaachiana kulingana na uwezo na Mawazo mapya ili kusongesha mbele mapambano ya kudai Uhuru.


Kwa sasa ni zama za kupigania Demokrasia . Ni lazima ionekane kwa vitendo ikijengwa kuanzia Chini vinginevyo tunaandaa vyama vibovu kuliko CCM kututawala kwa mabavu zaidi kwani katiba yetu ni ya kimabavu.
Hatuwezi kuwa na katiba ya nchi ya kimabavu na vyama vya kimabavu tutapoteza kabisa Demokrasia kwa vizazi vyetu.

Je, tujifunze wapi Demokrasia kama Chama cha Demokrasia kinaendesha mambo yake kidikteta.?

hapo hapo sasa!
Kuna tatizo gani na huyu kukaa muda huo au zaidi ya huo?
Hivi mazingira ya sasa kunatofauti gani na ya Mkoloni?
by the way huoni ni magumu kuliko hata ya mkoloni?
ni wangapi walikufa au kupotea kipindi cha mkoloni?
ni wangapi walitekwa wakiwa kwenye harakati za kisiasa? kumbuka vyma vingi vilikuweo tokea enzi za mkoloni!
 
Hebu nikumbushe Mayalla Nyerere alikuwa mwenyekiti wa TANU and CCM kwa miaka mingapi? Unafikiri kwa nini alifanya hivyo. Nafikiri Mayalla umekuwa upande ambao huoni reality of things. Ni yenu ni kuona CDM kikifa kama CUF period shame on you.
 
mkuu hii mada ingelikuwa balanced kama pia ungezungumzia uwenyeviti katika vyama vngine kama TLP,CUF na NCCR mageuzi.Maana wengine watasema mbona wakati wa chaguzi za hivyo vyama maana ni wao ndio viongozi kwa vipindi hakukuwa na hiz kelele na mbona sasa.Infact bado tuna safari ndefu ya demokraisia hapa.

Mie pia sijamwelewa ingawa kitu hiki nilimsikia akikiongelea hivihivi kama alivyokileta kwenye TV fulani na swali lako hili nami nilijiuliza Pascal anazungumzia succession plan ipi hasa na kwa chama gani au anazungumzia mlengwa wake Chadema tu? siku hiyo kwenye TV alijaribu kupotosha kwamba hata JPM alitayarishwa na CCM hapo ndipo nilipoelewa kuwa mahaba ni ugonjwa wa malaya
 
Back
Top Bottom